Deepening Educational and Cultural TiesState University of Zanzibar (SUZA) Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, led a high-level delegation to China to further strengthen educational and cultural ties between the two nations. The delegation included representatives from Zanzibar University, Leera School, and other key stakeholders from the public and private sectors. A primary focus ofRead More
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Dk. Hashim Hamza Chande, amesema ushirikiano baina ya SUZA, Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) na Chuo Kikuu cha Cagliari cha Italia umekuja wakati muafaka hasa ikizingatiwa kuwa Chuo kinatarajia kutekeleza mradi wa upanuzi wake hivi karibuni. Akizungumza katika kikao cha pamoja cha maofisa wa ZAWA na wa Chuo cha Italia hapo makao makuu ya SUZA Tunguu Wilaya yaRead More
MKUU wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Moh’d Makame Haji amezindua mfumo mpya wa masomo ya kimtandao ‘Myloft – My Library of Finger Print’ ambao utasaidia upatikanaji wa taarifa za kimasomo kwa njia rahisi. Alisema mfumo huo utachangia kuwawezesha wanafunzi na wafanyakazi kufanya kazi zao hasa ikizingatiwa kuwa kumekuwa na ongezeko la wanafunziRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea mtaalamu atakayefundisha elimu ya sayansi ya michezo kwa ajili ya kuimarisha sekta hiyo katika Chuo hicho. Akizungumza na mtaalamu huyo, Yutaka Ide anatokea Hiroshima nchini Japani, mazungumzo yaliyofanyika makao makuu ya SUZA Tunguu mkoa wa Kusini Unguja, Makamo Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Moh’d Makame Haji alisemaRead More
Call for One PhD Scholarship position on marine coastal ecosystem restoration (seagrasses) using integrated approach under the Building Stronger Universities Project (BSU-IV) at The State University of Zanzibar Re-advertised Project Outline The Danish Ministry of Foreign Affairs has granted full support to the fourth phase of the BuildingStronger Universities project (BSU-IV) at the State UniversityRead More
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Ali Suleiman ametoa wito kwa vijana kutumia fursa zinazowekwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ili waweze kuzalisha mazao na kukuza ufugaji nchini.Aliyasema hayo katika ufunguzi wa maonesho ya Kilimo yanayoendelea katika Mkoa wa Kusini Pemba huko Chamanangwe aliyahimiza mabaraza ya vijana kutumiwa kwa tija ili yaweRead More
Zanzibar – In an inspiring move to deepen its connection with the local community, the State University of Zanzibar (SUZA) has urged stakeholders to actively engage in its transformative Building Stronger University (BSU4) project. During a dynamic stakeholder meeting at Golden Tulip Airport Hotel in Kiembe Samaki, SUZA’s Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, highlightedRead More
Wananchi kadhaa waliotembelea banda la maonesho ya Chakula yanayoendelea huko Chamanangwe mkoa wa Kusini Pemba wamevutiwa na utaalamu uliobuniwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa zanzibar (SUZA). Miongoni mwa jambo lililowavutia wengi na kuwa watulivu kupokea maelezo kutoka kwa mtaalamu aliyebuni teknolojia hiyo Khamis Said Moh’d, mwanafunzi aliyemaliza Shahada ya Usimamizi wa Teknolojia yaRead More