The State University Of Zanzibar

Makamu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amepokea wazo la kushirikiana na Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika Kujipima kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) utakaoongeza kasi ya utekelezaji wa dhana hiyo kuwaongezea ujuzi wanataaluma kwa kushirikiana na wadau wengine katika kutoa elimu. Hatua hiyo imefikiwa
Read More
MAKAMU Mkuu  wa Chuo Kikuu cha Taifa cha  Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amewakumbusha  wadau wa Chuo hiki  kuzingatia kuweka  kipengele cha kulinda maadili na kutunza nidhamu  kwenye Sera ya Michezo ya SUZA. Alisema washiriki wa michezo watambue  kuwa  wao ni wanafunzi wa SUZA  wakati wakiendelea na michezo walinde heshima zao, Chuo na nchi
Read More
SUZA yawaandaa viongozi mahiri NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee Wanawake na Watoto Mhe. Anna Athanus Paul amesema Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kinawaandaa viongozi mahiri watakaoweza kusimamia mipango na mikakati mikuu ya nchi siku zijazo. Akitoa hutuba ya maadhimisho ya Siku ya Ustawi wa Wanafunzi yaliyoandaliwa na Serikali ya Wanafunzi
Read More
Mwalimu Mkuu wa idara ya Kiswahili Idara ya Kiswahili kwa Wageni Bi. Shani Khalfan ameushukuru uongozi wa Chuo Kikuu cha Withwoth cha Marekani kwa kuendelea kuichagua SUZA kupokea wanafunzi wake kwa ajili ya kuwasomesha lugha ya Kiswahili. Alisema huduma hiyo wamekuwa wakiitoa kwa muda wa miaka 10 bila kusita na ana matumaini kuwa wataendelea kuwa
Read More
SUZA, Emirates watiliana saini ujenzi wa dakhalia Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimetiliana saini na mkandarasi Emirates Company Ltd katika ujenzi jengo la ghorofa n e la Dakhalia ya Wanafunzi Wanawake unaofadhiliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Tukio hili linaashiria hatua muhimu katika juhudi za kuimarisha fursa za elimu na kukuza mazingira bora
Read More
The Vice-Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, has emphasized the importance of the university utilizing the opportunity to collaborate with visitors from countries that have made significant progress in modern technology, which aligns with the country’s policy to strengthen the digital economy. He made these remarks on January 10,
Read More
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Bi Hamida Mohammed Ahmed amesema utekelezaji majukumu ya Baraza umechangia kuweka mazingira mazuri ya utoaji wa huduma za Chuo. Akizungumza katika mkutano wa pamoja na wanataaluma na wajumbe Kamati mbali mbai za SUZa uliofanyika makao makuu ya SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 28/01/202,
Read More
Makamo Mkuu wa Chuo Cha taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesema Chuo kimeanzisha program mpya ya Shahada ya Tabibu Kinywa na Meno (Bachelor of Science in Doctor of Dental Surgery) ambapo kwa mara ya kwanza wahitimu watano wametunuliwa Shahada zao. Akitoa salamu zake katika Mahafali ya 20 yaliyofanyika katika makao makuu ya
Read More
Wengi wanaifunga safari ya kutafuta elimu wakipitia changamoto mbali mbali kukamilisha ndoto zao, lakini si wote wanaobahatika kufikia daraja ya kuwawezesha kupewa heshima kubwa katika tasnia hiyo.Kauli hii inatufungulia ukurasa mpya wa wasifu wa maisha ya Mwalimu Haroun Ali Suleiman (71) katika sekta ya elimu uliomfungulia milango ya uongozi na uwajibikajika katika kazi hadi kufikia
Read More
1 2 3 7