The State University Of Zanzibar

Previous Next Maafisa Wakutubi kutoka Chuo Kikuu Cha Taifa cha Zanzibar wakitoa maelezo kwa washiriki walohudhuria Maadhimisho ya siku ya Kujua kusoma na kuandika yaliyofanyika tarhe 7-8 Septemba 2024 katika Ukumbi wa Idris Abdulwaki
Read More
Previous Next Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuunga mkono juhudi za taasisi za kitaaluma za kimataifa zinazoonesha dhamira ya kushirikiana na Zanzibar kuijengea uwezo wa kielimu katika nyanja mbalimbali. Dk.Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 13 Sept 2024 alipokutana na Mkuu wa Chuo kikuu cha Imperial...
Read More
Previous Next Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Leila Muhammed Mussa, amesemateknolojia ya kisasa  itaongeza kasi ya upatikanaji wa elimu  kwa watu wenye mahitaji maalum nchini. Hayo aliyasema katika ufunguzi  wa semina ya siku  tatu iliyoanza leo tarehe 09/09/20024 katika Kampasi ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) huko Maruhubi. Katika semina hiyo...
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kinapenda kuutaarifu umma kuwa kimetoa orodha ya Majina ya waliochaguliwa kujiunga na masomo awamu ya kwanza kwa ngazi ya Cheti, Stashahada na Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 kwa programu mbali mbali kama zinavyojionesha hapo chini. Chuo pia kinapenda kuwataarifu waombaji wote waliochaguliwa kuwa, wahakikishe wanaingia katika...
Read More
Project Description. The Revolutionary Government of Zanzibar through the United Republic of Tanzania and the Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) have signed loan agreement to support the expansion of SUZA project. BADEA contribution is US$ 13.4million which are in the form of soft loan and the Revolutionary Government of Zanzibar will contribute...
Read More
Call for One PhD Scholarship position on marine coastal ecosystem restoration (seagrasses) using integrated approach under the Building Stronger Universities Project (BSU-IV) at The State University of Zanzibar Re-advertised Project Outline The Danish Ministry of Foreign Affairs has granted full support to the fourth phase of the BuildingStronger Universities project (BSU-IV) at the State University...
Read More
1 2 3