The State University Of Zanzibar

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema Zanzibar inampango wa kujenga kituo cha kimataifa cha maradhi ya kansa kitakacho wezesha wagonjwa wa maradhi hayo kutibiwa hapa nchini. Akifungua mkutao wa Tano wa Jumuiya ya African Woman Health, Uliofannyika Tarehe 16/01/2026, Dkt. Mngereza Alisema kupitia mkutano huo wamejadili namna bora ya kutokomeza
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kushirikiana na wataalamu kutoka nyanja mbali mbali za Mtandao wa Vitu (internet of Things- IoT) wamejadiliana maeneo ya ushirikiano wa kitaaluma ili kuimarisha utafiti wa elimu ya fani kadhaa kwa pamoja hapa Zanzibar. Mkutano wa siku mbili ulijadili masuala ya kilimo,, ukusanyaji data, afya ya binadamu na
Read More
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, Prof. Abdi Talib, ameshiriki kwenye warsha ya kujenga uelewa wa pamoja juu ya Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya Teknolojia ya Kidijiti katika Elimu (20/2025- 2029/2030) na kupata fursa ya kushiriki mjadala wa utekelezaji wa mkakati huu. Aidha, Dkt. Abdulrahim Ali, mmoja wa wataalamu waliotayarisha
Read More
The State University of Zanzibar (SUZA) participated in the Dissemination Workshop for the National Digital Education Strategy (NDES) 2030 and its Implementation Guidelines, held on 14–15 January 2026 at Dr. Mafumiko Hall, GCLA, Dodoma, under the theme “Integration of Digital Technologies to Enhance Teaching and Learning.” SUZA was represented by the Deputy Vice Chancellor –
Read More
Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA) Prof. Salum Seif Salum amesema SUZA imepata fursa ya kujiimarisha kitaaluma kupitia ushirikiano na Vyuo Vikuu vya Camerino cha Italia na Bremen cha Ujerumani. Hayo ameyasema kwenye mkutano na washirika hao ukiwashirikisha pia wakuu wa Skuli za SUZA na wanafunzi uliofanyika katika ukumbi
Read More
SUZA warmly extends its gratitude to Mr. Shigeki Komatsubara, Resident Representative of UNDP Tanzania, and his team for visiting our pavilion during the 12th Zanzibar International Trade Festival. Your presence and support inspire our students and strengthen our commitment to innovation and sustainable development.
Read More
We sincerely thank Ms. Laxmi, Chief of UNICEF Zanzibar, and her team for visiting the SUZA booths at the Zanzibar International Trade Festival, currently taking place at the Dimani Exhibition Grounds. Your visit on 12th January 2026 was a great honor and a strong encouragement to our academic and innovation initiatives
Read More
Mhe. Mussa Azzan Zungu, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa UAE nchini Tanzania, Mhe. Khalifa Abdulrahman Mohamed Abdulrahman Almarzouqi pamoja na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda akiambatana na Ujumbe kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), katika
Read More
Mratibu Mkuu wa Mradi wa Mageuzi ya Elimu ya Juu Kiuchumi (HEET) Dkt. Kennedy Hosea, amewahimiza wakandarasi  wa ujenzi wa mradi huo kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha kazi yao kwa  wakati uliopangwa. Alisema Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kiko karibu na wakandarasi    kushirikiana nao kwa kila hali ili kutatua changamoto zinazotokea kama
Read More
1 2 3 19