Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa moja ya alama muhimu za maendeleo ya Taifa lolote ni ubora wa Elimu ya Juu yenye uwezo wa kuzalisha wataalamu wanaoweza kuhimili changamoto za Karne ya 21, hususan katika nyanja za sayansi na teknolojia. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayoRead More
CHUO Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA) kimetoa mafunzo maalum ya Itifaki ya viongozi wa kitaifa ili kuimarisha uandaaji na uendeshaji wa Mahafali ya 21 yanayotarajia kufanyika tarehe 20 mwezi. Akitoa mafunzo hayo kwa Kamati ya Itifaki (Kamati ya ukaribishaji wageni) ya Mahafali ya 21 ya SUZA katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohammed Shein uliopoRead More
NAIBU Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha taifa cha Zanzibar (SUZA) anayeshughulikia masuala ya Mipango, Fedha na Utawala, Prof. Salum Seif Salum amesema ushirikiano na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) utachangia kuitangaza SUZA kitaaluma kimataifa. Hayo aliyasema katika mazungumzo yake kati ya ujumbe kutoka TCRA ambao unatoa mafunzo ya mawasiliano ya kimataifa (International Telecommunication Union-Read More
Ujumbe wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA) ukiwa pamoja na watendaji na maofisa wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ukiongozwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Khadija Salum Ali ukikagua miradi ya maendeleo inayotarajiwa kuwekwa jiwe la msingi katika kipindi cha shamrashamra za Mapinduzi ya Zanzibar mwezi JanuariRead More
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum, amewasihi wahitimu na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuitumia fursa waliyonayo kubuni miradi itakayowawezesha kujiajiri badala ya kusubiri ajira kutoka serikalini. Nasaha hizo alizitoa wakati akizungumza kwenye Mkusanyiko wa Tatu wa Kitaaluma uliofanyika tarehe 13/12/2025 Taasisi ya Utalii katikaRead More
The Deputy Vice-Chancellor for Academic, Research and Consultancy (DVC–ARC) at the State University of Zanzibar, Prof. Abdi Talib Abdalla, convened his inaugural meeting with the University’s academic staff and laboratory support personnel following his recent appointment. The meeting was held on 11th December 2025 in the assembly hall of the Computing Building at the TunguuRead More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) Press Release ACADEMIC PROMOTION The State University of Zanzibar (SUZA) is pleased to inform the University Community and the general public that the University Council, at its 82nd Meeting held on 9th December 2025, approved the promotion of the following member of the academic staff. From Senior Lecturer toRead More
The Acting Vice Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA), Prof. Abdi Talib Abdalla, has announced that the University is reviewing guidelines for academic staff promotions in order to accelerate research activities and journal publications at the institution. Speaking to academic staff from SUZA’s Schools and Departments including directors of undergraduate and postgraduate programsRead More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) VACANCY ANNOUNCEMENT POSITION: VICE CHANCELLOR The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar, established under the State University of Zanzibar Act No. 8 of 1999 and subsequently amended by Act No. 11 of 2009, Act No. 7 of 2016, Act No. 1 of 2019Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) VACANCY ANNOUNCEMENT POSITION: DEPUTY VICE-CHANCELLOR – PLANNING, FINANCE AND The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar, established under Act No. 8 of 1999 and subsequently amended by Act No. 11 of 2009, Act No. 7 of 2016, Act No. 1 of 2019 andRead More