Mwalimu Mkuu wa idara ya Kiswahili Idara ya Kiswahili kwa Wageni Bi. Shani Khalfan ameushukuru uongozi wa Chuo Kikuu cha Withwoth cha Marekani kwa kuendelea kuichagua SUZA kupokea wanafunzi wake kwa ajili ya kuwasomesha lugha ya Kiswahili. Alisema huduma hiyo wamekuwa wakiitoa kwa muda wa miaka 10 bila kusita na ana matumaini kuwa wataendelea kuwaRead More
SUZA, Emirates watiliana saini ujenzi wa dakhalia Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimetiliana saini na mkandarasi Emirates Company Ltd katika ujenzi jengo la ghorofa n e la Dakhalia ya Wanafunzi Wanawake unaofadhiliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Tukio hili linaashiria hatua muhimu katika juhudi za kuimarisha fursa za elimu na kukuza mazingira boraRead More
The Vice-Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, has emphasized the importance of the university utilizing the opportunity to collaborate with visitors from countries that have made significant progress in modern technology, which aligns with the country’s policy to strengthen the digital economy. He made these remarks on January 10,Read More
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Bi Hamida Mohammed Ahmed amesema utekelezaji majukumu ya Baraza umechangia kuweka mazingira mazuri ya utoaji wa huduma za Chuo. Akizungumza katika mkutano wa pamoja na wanataaluma na wajumbe Kamati mbali mbai za SUZa uliofanyika makao makuu ya SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 28/01/202,Read More
Makamo Mkuu wa Chuo Cha taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesema Chuo kimeanzisha program mpya ya Shahada ya Tabibu Kinywa na Meno (Bachelor of Science in Doctor of Dental Surgery) ambapo kwa mara ya kwanza wahitimu watano wametunuliwa Shahada zao. Akitoa salamu zake katika Mahafali ya 20 yaliyofanyika katika makao makuu yaRead More
Wengi wanaifunga safari ya kutafuta elimu wakipitia changamoto mbali mbali kukamilisha ndoto zao, lakini si wote wanaobahatika kufikia daraja ya kuwawezesha kupewa heshima kubwa katika tasnia hiyo.Kauli hii inatufungulia ukurasa mpya wa wasifu wa maisha ya Mwalimu Haroun Ali Suleiman (71) katika sekta ya elimu uliomfungulia milango ya uongozi na uwajibikajika katika kazi hadi kufikiaRead More
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Dk. Hussein Mwinyi amevutiwa na ongezeko la wahitimu wanawake ambao wanaendelea kuongezeka katika programu mbali mbali zinazotolewa katika Chuo hiki.Alisema katika mwaka wa masomo 2023/2024 wahitimu 2791 wametunukiwa Shahada mbalimbali ambao sawa ongezeko la asilimia 7.7 ikilinganishwa na idadi ya wahitimu 2101 wa mwaka jana.‘’Nimefarijika kuonaRead More
Naibu Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Hamad Hassan Chande amezindua mfumo wa wahitimu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) utakaokuwa na taarifa zao kuanzia mwaka 2002.Mhe.Chande ambaye ni msajiliwa namba moja wa mfumo huo, alifyatua kitufe kuashiria uzinduzi huo na taarifa zake kuonekana.Akitoa maelezo yanayohusu mfumoRead More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesema analishukuru Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kuwashirikisha kuwa sehemu ya kuchangia andiko la kuanzishwa kwa Kituo kikubwa cha Tafiti cha Jeshi hili.Hayo aliyasema katika makao makuu ya SUZA huko Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja wakati akizungumza na ujumbe waRead More