The State University Of Zanzibar

VIONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Bahari cha Dar es Salaam wamesaini hati ya makubaliano kuongeza ushirikiano wa kitaaluma ya kutoa mafunzo ya ubaharia. Utiaji saini huo ulifanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya SUZA yaliyoko Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 26/06/2025 ambao uliwashirikisha wadau, watendaji na
Read More
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesisitiza kuwepo ushirikiano baina ya SUZA na Chuo Kikuu cha Amali cha Jiangsu cha China utakaoimarisha jitihada za serikali ya awamu ya nane chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi. Aliyasema haya
Read More
VIONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Camerino (UNICAM) cha Italia wamejadiliana namna ya kuendeleza ushirikiano wa kitaaluma ili kuongeza kasi maendeleo kwenye nyanja ya elimu na kutoa wahitimu waliobobea kwenye program wanazotoa. Vyuo hivyo viwili vilitiliana saini mkataba wa ushirikiano mwaka 2019 katika taaluma kwa kubadilishana wanafunzi, kufanya
Read More
WADAU kutoka taasisi zinazoshughulikia masuala ya bahari Tanzania wamepitia rasimu ya mtaala wa mafunzo ya usalama wa bahari ili kuwawezesha kuitumia rasilimali hiyo kwa maendeleo endelevu. Akifungua kikao kilichofanyika makao makuu ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) tarehe 24/06/2025, Makamu Mkuu wa chuo hiki alisema hatua hii ni muhimu kufanyiwa kazi ipasavyo kwani
Read More
Osaka, Japani — 1 Julai 2025Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimejitokeza kwa fahari kubwa kushiriki rasmi katika uzinduzi wa Juma la Kiswahili na Utamaduni uliofanyika jijini Osaka, Japani, ikiwa ni sehemu ya Tamasha la Kibiashara la Kimataifa la Osaka 2025. Akizungumza katika hafla hiyo ya uzinduzi, Makamu Mkuu wa SUZA, Profesa Mohamed Makame
Read More
A transformative Training of Trainers on Scientific Communication is currently taking place at the State University of Zanzibar – Institute of Tourism, under Work Package 4 of the SCOPPET Project This training brings together experts from Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo), Jimma University (Ethiopia), and SUZA, combining regional knowledge and international expertise to build
Read More
A powerful three-day workshop brought together researchers and scholars from Jimma University (Ethiopia), State University of Zanzibar (SUZA), and Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo) in Tanzania to strengthen science communication skills under the SCOPPET Project. Designed to enhance the capacity of project team members, the workshop featured both local and remote facilitation, enabling active
Read More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeunda ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Misri cha Sadat City (USC) ambapo kinatarajia kufungua tawi la Chuo hicho kitakachokuwa na ofisi zake katika kampasi za SUZA. Akizungumza katika hafla fupi ya kujadiliana namna ya kutekeleza ushirikiano huo, Makamu Mkuu wa SUZA, Prof. Moh’d Makame Haji, alisema
Read More
Kituo cha Center for Digital Learning (CDL) cha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kwa kushirikiana na Taasisi ya Shule Direct ya Tanzania, kimeingia katika ushirikiano wa kimkakati kutekeleza Mradi wa Virtual Learning Environment (VLE) wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, ikiwa ni jitihada mahsusi za kuimarisha sekta ya elimu kupitia matumizi
Read More
1 2 3 11