The State University Of Zanzibar

Makamo Mkuu wa Chuo Cha taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesema Chuo kimeanzisha program mpya ya Shahada ya Tabibu Kinywa na Meno (Bachelor of Science in Doctor of Dental Surgery) ambapo kwa mara ya kwanza wahitimu watano wametunuliwa Shahada zao. Akitoa salamu zake katika Mahafali ya 20 yaliyofanyika katika makao makuu ya
Read More
Wengi wanaifunga safari ya kutafuta elimu wakipitia changamoto mbali mbali kukamilisha ndoto zao, lakini si wote wanaobahatika kufikia daraja ya kuwawezesha kupewa heshima kubwa katika tasnia hiyo.Kauli hii inatufungulia ukurasa mpya wa wasifu wa maisha ya Mwalimu Haroun Ali Suleiman (71) katika sekta ya elimu uliomfungulia milango ya uongozi na uwajibikajika katika kazi hadi kufikia
Read More
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Dk. Hussein Mwinyi amevutiwa na ongezeko la wahitimu wanawake ambao wanaendelea kuongezeka katika programu mbali mbali zinazotolewa katika Chuo hiki.Alisema katika mwaka wa masomo 2023/2024 wahitimu 2791 wametunukiwa Shahada mbalimbali ambao sawa ongezeko la asilimia 7.7 ikilinganishwa na idadi ya wahitimu 2101 wa mwaka jana.‘’Nimefarijika kuona
Read More
Naibu Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Hamad Hassan Chande amezindua mfumo wa wahitimu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) utakaokuwa na taarifa zao kuanzia mwaka 2002.Mhe.Chande ambaye ni msajiliwa namba moja wa mfumo huo, alifyatua kitufe kuashiria uzinduzi huo na taarifa zake kuonekana.Akitoa maelezo yanayohusu mfumo
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesema analishukuru Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kuwashirikisha kuwa sehemu ya kuchangia andiko la kuanzishwa kwa Kituo kikubwa cha Tafiti cha Jeshi hili.Hayo aliyasema katika makao makuu ya SUZA huko Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja wakati akizungumza na ujumbe wa
Read More
Naibu Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Hamad Hassan Chande ameonya tafiti zinazofanywa na wahitimu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kufungiwa makabatini.Hayo aliyasema wakati akifungua kilele cha Wiki ya Juma la Convocation kilichofanyika katika ukumbi ya Taasisi ya Utalii, kampasi ya Chuo Kikuu Maruhubi tarehe 22/12/2024.Alisema iwapo
Read More
Previous Next Mwenyekiti wa Kamati ya Mkusanyiko Kitaalamu (Convocation) Mhe. Riziki Juma Pembe amezindua rasmi Kamati za Mkusanyiko huo zilizowashirikisha wajumbe 14 ambapo mwengine anatarajiwa kutajwa hivi karibuni.Akizungumza katika mkutano huo wa pili wa mwaka wa Mkusanyiko huo uliofanyika katika Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) ya Taasisi ya Utalii, Maruhubi tarehe 22/12/2024 alizitaja
Read More
The Council of State University of Zanzibar seeks to recruit Deputy Vice-Chancellor Academic, Research and Consultancy from suitably qualified and competent Tanzanian candidates with excellent credentials. The Deputy Vice-Chancellor Academic, Research and Consultancy shall work under the directive of the Vice-Chancellor of the University.Qualifications and Experience:The candidates should possess the following qualifications and experience.– Beholders
Read More
Previous Next Hhini ya Mradii wa Youth Ignit unaosimamiwa na Starthub African unaofadhiliwa wa UNDP ambalo limeshirikisha vyuo 10 nchini Tanzania ikishirikisha jumla ya wanafunzi 30. Mshindi wa kwanza ni mwanafunzi William Frank kutoka Skuli ya Kompyuta Mawasiliano na Masomo ya Habari akiwa na wazo la Kibenki Fintech inayosaidia wafanyakazi wa hali ya chini kupata
Read More
1 2 3 7