Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Ndg. Khalid Masoud Waziri amewataka waandishi wa habari nchini kufanyakazi kwa weledi na ubunifu mkubwa ili kuondoa dhana potofu kwa baadhi ya watu wanaona kazi ya uandishi inaweza kufanywa hata na watu wasiokuwa na taaluma. Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Elimu na MafunzoRead More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Mohd Makame Haji, ameshiriki kama Mgeni Mualikwa katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanafunzi Wauguzi Tanzania (UNSATA) uliofanyika leo tarehe 10 Mei 2025, katika Ukumbi wa Dkt. Shein, Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja. Mkutano huo umejumuisha wanafunzi wa Shahada yaRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimedhamiria kuanzisha mashirikiano na Chuo Kikuu cha Osaka nchini Japan yenye lengo la kukuza mashusiano kwenye Taaluma, Tafiti na kubadilishana wataalamu na wanafunzi kwenye maeneo ya lugha, utamaduni na afya. Haya yamesemwa na Makamu Mkuu wa SUZA Prof. Moh’d Makame Haji alipofanya mazungumzo na Mwakilishi kutoka Chuo KikuuRead More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi ametembelea banda la maonesho la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) lililoonesha huduma mbali mbali zinazotolewa na taasisi za Chuo hiki. Dk. Mwinyi alipewa maelezo ya shughuli zinazotekelezwa na SUZA ikiwa ni pamoja na masuala ya afya ya binadamu na wanyama, ujasiriamali,Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimefanya mazungumzo na Taasisi ya Sayansi za Hisabati ya Afrika (African Institute for Mathematical Sciences – AIMS) tawi la Rwanda, yakilenga kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali, hususan ufundishaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati. Mazungumzo hayo, yaliyofanyika tarehe 29 Aprili 2025 katika ofisiza makao makuuRead More
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Dk. Hashim Hamza Chande SUZA imetoa shukurani kwa kupata heshima kuchaguliwa kuwa ni mahala pa kutolewa mhadhara wa masuala ya anga. Hayo aliyasema wakati akimkaribisha mtaalamu ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Omani Space Astronomical Society, Bw. Abdulwahab Suleiman AlBusaid aliyefika nchini kwa ajiliRead More
In a significant step toward fostering international academic collaboration, a delegation from the University of Oradea, Romania, paid an official visit to the State University of Zanzibar (SUZA), where they were warmly received by SUZA’s Vice Chancellor, Professor Mohamed Makame Haji, and Dr. Abubakar Diwani Bakari. The high-level meeting, held at SUZA’s main campus, focused on exploring strategic partnershipsRead More
Makamu Mkuu wa Wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, ameelezea kuridhishwa na Shirika la Maendeleo la NORAD la Norway linavyoendelea kuiunga mkono SUZA katika utekelezaji wa mairadi mbali mbali ya kitaaluma. Katika mazungumzo yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya SUZA Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja akiwa naRead More
Naibu Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Dkt. Hashim Hamza Chande, amekutanana Bw. Chad Morris, ofisa wa masuala ya umma na Karen Nasso, ofisa wa “American Spaces,” kutoka Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania. Mkutano huo uliofanyika katika ofisi za makao makuu ya Chuo Tunguu tarehe 15/04/2025 ulilenga kuimarisha ushirikiano na kati ya SUZA na UbaloziRead More
The Institute of Tourism and the School of Agriculture at the State University of Zanzibar (SUZA) are pleased to announce a valuable opportunity for staff members to engage in the Erasmus Mobility Program at Eskişehir Osmangazi University (ESOGU). ESOGU will host the third International Staff Training Week between 12 to 16 May 2025, within theRead More