Skip to main content

The State University Of Zanzibar

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Muhamed Mussa, amewataka wakandarasi na wasimamizi wa miradi ya ujenzi inayoendelea katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuhakikisha wanazingatia masharti ya mikataba na kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa. Mhe. Waziri ametoa kauli hiyo
Read More
Erasmus_Global_Call_for_ApplicationsDownload
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeendelea kuonesha dhamira yake ya kuendeleza ubora wa kitaaluma, ubunifu na uongozi wa wanafunzi kupitia hafla ya utoaji wa tuzo za SUZASO Awards 2026, ambapo wanafunzi bora katika nyanja mbalimbali walitunukiwa tuzo kwa kutambua juhudi, vipaji na mafanikio yao ya kitaaluma. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika tarehe 28
Read More
The State University of Zanzibar (SUZA) has officially launched the LeaderAfrica Encounter 2026 Staff Week, a five-day international programme taking place from 29 June to 4 July 2026 at the Zanzibar Institute of Tourism Development (ZIToD) in Maruhubi, Zanzibar. Speaking during the opening ceremony, the Minister of Education and Vocational Training Zanzibar, Hon. Lela Mohamed
Read More
The State University of Zanzibar (SUZA), in collaboration with New York University (NYU) and UNICEF Zanzibar, has successfully concluded the “Systems Approach to Climate Change: Global Field Experience” training programme, held from 17–26 June 2026 at ZIToD, Maruhubi, Zanzibar.‎‎The Guest of Honour, Mr. Khamis Abdulla Said, Permanent Secretary of the Ministry of Education and Vocational
Read More
‎‎Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea wageni kutoka Chuo Kikuu cha New York (NYU) cha Marekani pamoja na wajumbe kutoka UNICEF katika ziara ya kielimu iliyolenga kujifunza na kubadilishana uzoefu.‎‎Ziara hiyo imehusisha wanafunzi na wahadhiri kutoka NYU ambao walipata fursa ya kujifunza kuhusu historia, uchumi wa kisiasa, utawala na usalama wa Tanzania na
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimehimizwa kuendeleza utamaduni wa michezo kwa kuandaa matukio ya michezo angalau mara moja kila semista, hatua inayolenga kuimarisha afya, kuchangamsha akili na kuongeza ushirikiano miongoni mwa wafanyakazi na wanafunzi. Wito huo umetolewa na Kaimu Makamu Mkuu wa SUZA, Prof. Abdi Talib Abdalla, wakati akifungua tamasha la SUZA Sports
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kushirikiana na Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ofisi ya Pemba, kimeendesha mafunzo ya Usalama na Usafi wa Chakula pamoja na Usalama na Maandalizi ya Dharura kwa wamiliki na wahudumu wa migahawa mbalimbali inayotoa huduma za chakula Kisiwani Pemba. Mafunzo hayo yalilenga kuongeza uelewa wa washiriki kuhusu umuhimu wa
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kupitia Idara ya Mawasiliano na Mafunzo ya Habari, kimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kukuza taaluma ya habari baada ya wanafunzi wake kushiriki mafunzo maalumu yaliyotolewa na Taasisi ya Habari ya Kimataifa ya Russia Today (RT) katika Kampasi ya Kilimani. Akizungumza kuhusu mafunzo hayo, Kaimu Mkuu wa Idara
Read More
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Hamed Rashid Hikmany amaesema SUZA itaendelea kuunga mkono na kuimarisha elimu jumuishi kwa watu wenye ulemavu ili kuhakikisha wanapata fursa sawa za elimu na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii. Akizungumza na wanafunzi, walimu na wadau wa taasisi zinazoshughulikia watu wenye ulemavu katika
Read More
1 2 3 25