The State University Of Zanzibar

Naibu Makamu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, amewataka wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kutumia rasilimali za Chuo kwa manufaa ya taasisi na taifa kwa ujumla badala ya kuzitumia kwa maslahi yao binafsi. Prof. Abdi Talib Abdallah alitoa wito
Read More
Leo tarehe 15 Oktoba 2025, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, alitembelea Skuli na taasisi mbalimbali ndani ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar – SUZA kwa lengo la kuzitembelea kampasi za Chuo na kukutana na Wakuu wa Skuli pamoja na Wakuu wa Idara. Ziara hiyo
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) PO Box 146 vc@suza.ac.tz www.suza.ac.tz CALL FOR APPLICATIONS ERASMUS+ STUDENT MOBILITY EXCHANGE TO UNIVERSITY OF VENICE, ITALY The School of Education (SoE), is pleased to invite postgraduate students from the School of Education to apply for the Erasmus+ Student Exchange Programme in collaboration with Ca’ Foscari University of Venice,
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBARSCHOOL OF CONTINUING AND PROFESSIONAL EDUCATION (SCOPE)ANNOUNCEMENTSHORT COURSES PROGRAM OFFERED AT SUZA FROM NOVEMBER 2025 TO APRIL 2026 The School of Continuing and Professional Education (SCOPE) at SUZA invites all interested individuals to enroll in the short courses program listed in the table below. Our short courses are delivered by qualified
Read More
SUZA GETS ITS 4THDEPUTY VICE CHANCELLOR ACADEMICS Professor Abdi Talib Abdalla The Management of the State University of Zanzibar (SUZA) wishes to inform the general public and the entire SUZA stakeholders that the President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council who is also the Chancellor of the State University of Zanzibar, His Excellency Dr. Hussein Ali Mwinyi has appointed Prof. Abdi Talib Abdalla as the
Read More
Katika juhudi za kukuza maarifa ya tabia nchi miongoni mwa vijana, Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa mashirikiano na African Institute for Mathematical Sciencies (AIMS), leo kimeandaa mafunzo maalum ya siku moja kwa wanafunzi wa sekondari, yaliyofanyika katika ukumbi wa SUZA, KAmpasi ya Vuga. Mafunzo hayo yaliyozikutanisha skuli nne kutoka Unguja. Akifungua rasmi
Read More
Naibu Katibu Mkuu – Sayansi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel E. Mushi, amewataka wakandarasi wanaoshughulikia ujenzi wa majengo ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuongeza kasi ya ujenzi kwa kuongeza idadi ya wafanyakazi na muda wa kazi, ili kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati uliopangwa. Akizungumza wakati wa ziara
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeendelea kuimarisha uhusiano wa kimataifa kupitia mikataba na mashirikiano na taasisi mbalimbali za elimu ya juu kutoka ndani na nje ya nchi, kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa kitaaluma na kukuza ubora wa elimu inayotolewa. Akizungumza wakati wa ziara ya ujumbe kutoka Virginia Commonwealth University – School of
Read More
Baraza la Chuo, Menejimenti na Wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu za Rambirambi kwa Familia ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, kufuatia msiba wa kaka yake Marehemu Abbas Ali Mwinyi uliotokea September 25, mwaka huu. Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kinaungana na
Read More
1 2 3 15