The State University Of Zanzibar

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu HassanRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Baraza la Chuo, Menejimenti, na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu za dhati za
Read More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan MwinyiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Baraza la Chuo, Menejimenti na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeeleza dhamira yake ya dhati ya kuimarisha shughuli za utafiti kwa njia ya kitaasisi, na kuachana na mtindo wa tafiti za mtu mmoja mmoja zisizo na mwelekeo wa pamoja. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Makamu wa Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdalla, wakati wa uzinduzi
Read More
Leo tarehe 15 Oktoba 2025, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, alitembelea Skuli na taasisi mbalimbali ndani ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar – SUZA kwa lengo la kuzitembelea kampasi za Chuo na kukutana na Wakuu wa Skuli pamoja na Wakuu wa Idara. Ziara hiyo
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) PO Box 146 vc@suza.ac.tz www.suza.ac.tz CALL FOR APPLICATIONS ERASMUS+ STUDENT MOBILITY EXCHANGE TO UNIVERSITY OF VENICE, ITALY The School of Education (SoE), is pleased to invite postgraduate students from the School of Education to apply for the Erasmus+ Student Exchange Programme in collaboration with Ca’ Foscari University of Venice,
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBARSCHOOL OF CONTINUING AND PROFESSIONAL EDUCATION (SCOPE)ANNOUNCEMENTSHORT COURSES PROGRAM OFFERED AT SUZA FROM NOVEMBER 2025 TO APRIL 2026 The School of Continuing and Professional Education (SCOPE) at SUZA invites all interested individuals to enroll in the short courses program listed in the table below. Our short courses are delivered by qualified
Read More
SUZA GETS ITS 4THDEPUTY VICE CHANCELLOR ACADEMICS Professor Abdi Talib Abdalla The Management of the State University of Zanzibar (SUZA) wishes to inform the general public and the entire SUZA stakeholders that the President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council who is also the Chancellor of the State University of Zanzibar, His Excellency Dr. Hussein Ali Mwinyi has appointed Prof. Abdi Talib Abdalla as the
Read More
Katika juhudi za kukuza maarifa ya tabia nchi miongoni mwa vijana, Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa mashirikiano na African Institute for Mathematical Sciencies (AIMS), leo kimeandaa mafunzo maalum ya siku moja kwa wanafunzi wa sekondari, yaliyofanyika katika ukumbi wa SUZA, KAmpasi ya Vuga. Mafunzo hayo yaliyozikutanisha skuli nne kutoka Unguja. Akifungua rasmi
Read More
Naibu Katibu Mkuu – Sayansi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel E. Mushi, amewataka wakandarasi wanaoshughulikia ujenzi wa majengo ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuongeza kasi ya ujenzi kwa kuongeza idadi ya wafanyakazi na muda wa kazi, ili kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati uliopangwa. Akizungumza wakati wa ziara
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeendelea kuimarisha uhusiano wa kimataifa kupitia mikataba na mashirikiano na taasisi mbalimbali za elimu ya juu kutoka ndani na nje ya nchi, kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa kitaaluma na kukuza ubora wa elimu inayotolewa. Akizungumza wakati wa ziara ya ujumbe kutoka Virginia Commonwealth University – School of
Read More
1 2 3 11