The State University Of Zanzibar

Katika juhudi za kukuza maarifa ya tabia nchi miongoni mwa vijana, Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa mashirikiano na African Institute for Mathematical Sciencies (AIMS), leo kimeandaa mafunzo maalum ya siku moja kwa wanafunzi wa sekondari, yaliyofanyika katika ukumbi wa SUZA, KAmpasi ya Vuga. Mafunzo hayo yaliyozikutanisha skuli nne kutoka Unguja. Akifungua rasmi
Read More
Naibu Katibu Mkuu – Sayansi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel E. Mushi, amewataka wakandarasi wanaoshughulikia ujenzi wa majengo ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuongeza kasi ya ujenzi kwa kuongeza idadi ya wafanyakazi na muda wa kazi, ili kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati uliopangwa. Akizungumza wakati wa ziara
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeendelea kuimarisha uhusiano wa kimataifa kupitia mikataba na mashirikiano na taasisi mbalimbali za elimu ya juu kutoka ndani na nje ya nchi, kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa kitaaluma na kukuza ubora wa elimu inayotolewa. Akizungumza wakati wa ziara ya ujumbe kutoka Virginia Commonwealth University – School of
Read More
Baraza la Chuo, Menejimenti na Wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu za Rambirambi kwa Familia ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, kufuatia msiba wa kaka yake Marehemu Abbas Ali Mwinyi uliotokea September 25, mwaka huu. Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kinaungana na
Read More
Jumla ya walimu kumi na sita (16) kutoka Shule ya Sekondari Igunga, iliyopo Mkoa wa Tabora, Tanzania Bara, wametembelea Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar – SUZA, ikiwa ni sehemu ya juhudi za chuo hicho kujitangaza na kuongeza idadi ya wanafunzi kutoka Tanzania Bara na nje ya nchi. Ziara hii ni matokeo ya kampeni za
Read More
SUZA imeonesha utayari wake wa kuendeleza ushirikiano wa karibu na Chuo Kikuu cha SAN cha Poland, ikiwa ni pamoja na kukiomba Chuo Kikuu cha SAN kafungua tawi lake SUZA, kutoa fursa za kuwajengea uwezo wanataaluma katika mafuala ya tafiti na kubadilishana uzoefu katika ufundishaji. Hatua hii inalenga kuimarisha mahusiano ya kielimu kati ya vyuo hivyo
Read More
Wakaguzi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Tanzania wameridhishwa na utekelezaji wa ujenzi wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA). Hayo yalisemwa na wakaguzi hao wakati wakiwa katika kikao na Watendaji (PIU) wa Mradi huo kwa lengo la kukagua mendeleo ya mradi
Read More
Chuo Kikuu cha Osaka, Japani, kimefungua fursa mpya za kitaaluma kwa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kwa kusaidia wanafunzi na wataalamu wake kujiunga na taasisi mbalimbali za kimataifa zinazotoa programu za masomo ya Sayansi na lugha. Akizungumza katika kikao maalum cha tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa ushirikiano kati ya SUZA na Chuo
Read More
1 2 3 11