Uongozi wa Taasisi ya Wakaguzi wa Ndani Tanzania (IIA) umekutana na uongozi wa Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA). Lengo kuu la mkutano huo ni kuanzisha mashirikiano ikiwemo kuwa na Hatinya Mashirikiano na uanzishaji wa Klabu ya ya Wanafunzi ya Wakaguzi wa Ndani. Ujumbe huo umeongozwa na Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Ndg. SeifRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) reaffirmed its commitment to strengthening inclusive education, innovation, and international collaboration during the Breaking Education Barriers: Inclusion, Rehabilitation and Technology (BERT) Project Closing Conference held in Kigali, Rwanda from 18–22 May 2026. Representing SUZA, the Acting Vice Chancellor, Prof. Abdi T. Abdalla, delivered remarks during the opening ceremony, whereRead More
Wanafunzi wa kada ya Maabara wa Skuli ya Afya na Sayansi za Tiba ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar wameshiriki Kongamano la Kumi na Moja (11) la Jumuiya ya Wanafunzi wa Maabara Tanzania (TAMELASA). Kongamano hilo limefanyika tarehe 16/05/2026 katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere uliopo Dar es Salaam. Akihutubia KongamanoRead More
Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Abdi Talib Abdalla amesema taaluma ya Akili Unde kwa wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA itasaidia wahadhiri kukuza na kurahisisha taaluma zao.Akifungua Warsha ya Mafunzo ya Taaluma ya Akili Unde iliyotayarishwa na Kituo cha Kimataifa cha Taaluma za Kiswahili na Uenezi (GCKSA) katika Skuli ya Kiswahili na LughaRead More
Uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar umepokea wasilisho la michoro ya awali ya miundombinu mbalimbali inayotarajiwa kujengwa kupitia mradi wa BADEA kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kutoka kwa mshauri elekezi Y&P Architects Co. Ltd.Miongoni mwa miundombinu hiyo ni Jengo la Utawala, Jengo la Skuli ya Elimu na Lugha, jengo la HudumaRead More
Zanzibar, May 4, 2026 – The State University of Zanzibar (SUZA) hosted delegates from the University of Minnesota (UOM) and Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) for a preparatory visit to discuss the launch of a Sexual and Reproductive Health (SRH) training program for medical and nursing students. The meeting, held at theRead More
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Profesa Hamed R.H. Hikmany, amefanya ziara ya kikazi na kukutana na wafanyakazi wa Kurugenzi, Idara na Vitengo mbalimbali vya Chuo. Lengo kuu la ziara hii ni kujua majukumu na utekelezaji wa shughuli za kila siku za Chuo, pamoja na mafanikio na changamoto zinazoikabili SUZA.Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Guru Kashi kutoka nchini India, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha ubora wa elimu ya juu na kupanua fursa za kitaaluma kimataifa.Lengo kuu la ushirikiano huo ni kuanzisha kozi ya pamoja ya Shahada ya Uzamili katikaRead More
Na Mwandishi wetu, SUZA. Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Abdi T. Abdalla, amefungua rasmi mafunzo ya wakuu wapya wa idara kutoka skuli mbalimbali za chuo hicho, yanayolenga kuwajengea uwezo wa kiutendaji na kiuongozi. Akizungumza katika hafla ya ufunguzi, amewataka wakuu hao wa idara kufanya kazi kwa ufanisi, wakizingatiaRead More
Mwenyekiti wa Kigoda cha Sheikh Abeid Amani Karume katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Eginald Mihanjo, amesema falsafa na urithi wa waasisi wa Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheikh Abeid Amani Karume na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ni nguzo muhimu katika kulijenga Taifa na kulifikisha kwenye hatua za maendeleo. AmeelezaRead More