Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimetoa shukrani kwa Kampuni ya Simu ya Mtandao wa Halotel kwa ufadhili wa Shilingi Milioni 26 uliowanufaisha wanafunzi 24 wa chuo hicho, katika zoezi la kutambua na kuthamini mchango wa kampuni hiyo katika kuwawezesha wanafunzi wenye uhitaji. Akizungumza katika hafla ya kutoa shukurani kwa kampuni hiyo Mkurugenzi waRead More
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) – Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdalla, amesema SUZA imepata mafanikio makubwa katika utafiti, ubunifu, programu mpya za kitaaluma na utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Prof. Abdi Talib aliyasema hayo wakati akizungumza na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia wa JamhuriRead More
Zanzibar, 14 August 2026 — PhD students under the Building Stronger Universities (BSU4) Programme today presented updates on the progress of their research work to their respective Work Package (WP) leaders at The State University of Zanzibar (SUZA) Main Campus. The progress presentation session was held in the BSU4 Room, bringing together PhD students and academic and project leaders toRead More
Kumasi, Ghana | 27 July 2026 A delegation from the State University of Zanzibar (SUZA) conducted a successful benchmarking visit to the Office of Grants and Research (OGR) at Kwame Nkrumah University of Science and Technology (KNUST), Ghana, to learn from the University’s best practices in research grant management and institutional research support. The visit forms part of SUZA’s ongoingRead More
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Muhamed Mussa, amewataka wakandarasi na wasimamizi wa miradi ya ujenzi inayoendelea katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuhakikisha wanazingatia masharti ya mikataba na kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa. Mhe. Waziri ametoa kauli hiyoRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeendelea kuonesha dhamira yake ya kuendeleza ubora wa kitaaluma, ubunifu na uongozi wa wanafunzi kupitia hafla ya utoaji wa tuzo za SUZASO Awards 2026, ambapo wanafunzi bora katika nyanja mbalimbali walitunukiwa tuzo kwa kutambua juhudi, vipaji na mafanikio yao ya kitaaluma. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika tarehe 28Read More
The State University of Zanzibar (SUZA) has officially launched the LeaderAfrica Encounter 2026 Staff Week, a five-day international programme taking place from 29 June to 4 July 2026 at the Zanzibar Institute of Tourism Development (ZIToD) in Maruhubi, Zanzibar. Speaking during the opening ceremony, the Minister of Education and Vocational Training Zanzibar, Hon. Lela MohamedRead More
The BSU4 delegation continued its benchmarking visit at the University of Dar es Salaam (UDSM), gaining practical knowledge on research administration, grant management, and digital systems that support research activities across the University. The programme brought together experts from different directorates, who shared their experience in managing research grants, consultancy services, publications, and institutional researchRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea wageni kutoka Chuo Kikuu cha New York (NYU) cha Marekani pamoja na wajumbe kutoka UNICEF katika ziara ya kielimu iliyolenga kujifunza na kubadilishana uzoefu.Ziara hiyo imehusisha wanafunzi na wahadhiri kutoka NYU ambao walipata fursa ya kujifunza kuhusu historia, uchumi wa kisiasa, utawala na usalama wa Tanzania naRead More