A transformative Training of Trainers on Scientific Communication is currently taking place at the State University of Zanzibar – Institute of Tourism, under Work Package 4 of the SCOPPET Project This training brings together experts from Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo), Jimma University (Ethiopia), and SUZA, combining regional knowledge and international expertise to buildRead More
A powerful three-day workshop brought together researchers and scholars from Jimma University (Ethiopia), State University of Zanzibar (SUZA), and Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo) in Tanzania to strengthen science communication skills under the SCOPPET Project. Designed to enhance the capacity of project team members, the workshop featured both local and remote facilitation, enabling activeRead More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeunda ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Misri cha Sadat City (USC) ambapo kinatarajia kufungua tawi la Chuo hicho kitakachokuwa na ofisi zake katika kampasi za SUZA. Akizungumza katika hafla fupi ya kujadiliana namna ya kutekeleza ushirikiano huo, Makamu Mkuu wa SUZA, Prof. Moh’d Makame Haji, alisemaRead More
Kituo cha Center for Digital Learning (CDL) cha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kwa kushirikiana na Taasisi ya Shule Direct ya Tanzania, kimeingia katika ushirikiano wa kimkakati kutekeleza Mradi wa Virtual Learning Environment (VLE) wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, ikiwa ni jitihada mahsusi za kuimarisha sekta ya elimu kupitia matumiziRead More
Professor Moh’d Makame Haji, Vice Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA), held a meeting with a delegation from South Africa’s University of Limpopo. The meeting took place today, June 19, 2025, at the conference hall on the Tunguu Campus. The delegation, led by Mr. Melusi Nxumalo, Director of Student Governance and Development atRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar na Wakala wa Maabara na Mkemia Mkuu wamesaini Hati ya Mashirikiano ikiwa na lengo la kuimarisha mashirikiano ya Kitaaluma, Kitafiti hususan katika maeneo ya sayansi, maabara, ubadilishanaji wa maarifa, utaalamu na kiutendaji baina ya taasisi hizo mbili. Akizungumza wakati wa utiaji sani huo Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu chaRead More
Ujenzi wa jengo la Skuli ya Kilimo (Agriculture Building) na la Maabara (Laboratory Complex) wa mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) umefikia asilimia 33 hadi mwezi huu wa tano. Taarifa hiyo imetolewa leo katika kikao cha tathmini ya ujenzi (Site Meeting) kimefanyika leo tarehe 28/05/2025 Makao makuu ya Chuo Tunguu. Aidha,Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof Moh’d Makame Haji amehudhuria kikao cha Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kilichojadili Hutuba ya Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka wa fedha 2025/2026 iliyowasilishwa tarehe 27 Mei, 2025 katika Ukumbi wa Bunge, Dodoma kwaRead More
Dkt. Hashim Hamza Chande, ameonesha kutoridhishwa na uzembe wa baadhi ya watendaji wa Idara ya Manunuzi na Ugavi kufuatia ucheleweshaji wa utekelezaji wa miradi chuoni. Dkt. Chande alitoa kauli hiyo baada ya kukagua baadhi ya maeneo ya Skuli ya Afya yaliyoonekana kutoendelezwa. Alielezwa kuwa ucheleweshaji huo unasababishwa na changamoto za manunuzi na urasimu wa kiutendaji.Read More
The visit aimed to establish academic collaboration between the two institutions. SUZA Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, expressed his enthusiasm for the partnership, stating that it is an honor for SUZA to receive such a delegation. He emphasized on the university’s readiness to collaborate in various fields, particularly in health sciences. SUZA is planningRead More