The State University Of Zanzibar

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Ndg. Khalid Masoud Waziri amewataka waandishi wa habari nchini kufanyakazi kwa weledi na ubunifu mkubwa ili kuondoa dhana potofu kwa baadhi ya watu wanaona kazi ya uandishi inaweza kufanywa hata na watu wasiokuwa na taaluma. Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Mohd Makame Haji, ameshiriki kama Mgeni Mualikwa katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanafunzi Wauguzi Tanzania (UNSATA) uliofanyika leo tarehe 10 Mei 2025, katika Ukumbi wa Dkt. Shein, Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja. Mkutano huo umejumuisha wanafunzi wa Shahada ya
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimedhamiria kuanzisha mashirikiano na Chuo Kikuu cha Osaka nchini Japan yenye lengo la kukuza mashusiano kwenye Taaluma, Tafiti na kubadilishana wataalamu na wanafunzi kwenye maeneo ya lugha, utamaduni na afya. Haya yamesemwa na Makamu Mkuu wa SUZA Prof. Moh’d Makame Haji alipofanya mazungumzo na Mwakilishi kutoka Chuo Kikuu
Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein  Mwinyi ametembelea banda la maonesho la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) lililoonesha huduma mbali mbali zinazotolewa na taasisi za Chuo hiki. Dk. Mwinyi  alipewa maelezo ya shughuli zinazotekelezwa na SUZA ikiwa ni pamoja na masuala ya afya ya binadamu na wanyama, ujasiriamali,
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimefanya mazungumzo na Taasisi ya Sayansi za  Hisabati ya Afrika (African Institute for Mathematical Sciences – AIMS) tawi la Rwanda, yakilenga kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali, hususan ufundishaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati. Mazungumzo hayo, yaliyofanyika tarehe 29 Aprili 2025 katika  ofisiza makao makuu
Read More
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Dk. Hashim Hamza Chande SUZA imetoa shukurani kwa kupata heshima kuchaguliwa kuwa ni mahala pa kutolewa mhadhara wa masuala ya anga. Hayo aliyasema wakati akimkaribisha mtaalamu ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Omani Space Astronomical Society, Bw. Abdulwahab Suleiman AlBusaid aliyefika nchini kwa ajili
Read More
Makamu Mkuu wa Wa Chuo Kikuu cha Taifa  cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, ameelezea kuridhishwa na Shirika la Maendeleo la NORAD la Norway   linavyoendelea kuiunga mkono SUZA katika utekelezaji wa mairadi mbali mbali ya kitaaluma. Katika mazungumzo yaliyofanyika  katika ofisi  za makao makuu ya  SUZA  Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja akiwa na
Read More
Naibu Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Dkt. Hashim Hamza Chande, amekutanana Bw. Chad Morris, ofisa wa masuala ya umma na  Karen Nasso, ofisa wa “American Spaces,”  kutoka Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania. Mkutano huo uliofanyika katika ofisi za makao makuu ya Chuo Tunguu tarehe 15/04/2025  ulilenga kuimarisha ushirikiano na kati ya SUZA na Ubalozi
Read More
The Institute of Tourism and the School of Agriculture at the State University of Zanzibar (SUZA) are pleased to announce a valuable opportunity for staff members to engage in the Erasmus Mobility Program at Eskişehir Osmangazi University (ESOGU). ESOGU will host the third International Staff Training Week between 12 to 16 May 2025, within the
Read More
Chuo Kikuu cha Bonga kilichopo nchini Adis Ababa, Ethiopia kimekiomba Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar  (SUZA) kushirikiana nao  kuikuza taaluma hususan kuieneza lugha ya Kiswahili nchini humo. Katika mazungumzo hao yaliyoushirikisha uongozi wa Chuo yaliyoongozwa na Mkurugenzi   wa Shahada  za Awali,  Dk. Khamis Haji Salum , Rais wa Chuo cha Bonga Dk. Petros  WOldegiorgis
Read More
1 2 3 7