Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Muhamed Mussa, amewataka wakandarasi na wasimamizi wa miradi ya ujenzi inayoendelea katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuhakikisha wanazingatia masharti ya mikataba na kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa. Mhe. Waziri ametoa kauli hiyoRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeendelea kuonesha dhamira yake ya kuendeleza ubora wa kitaaluma, ubunifu na uongozi wa wanafunzi kupitia hafla ya utoaji wa tuzo za SUZASO Awards 2026, ambapo wanafunzi bora katika nyanja mbalimbali walitunukiwa tuzo kwa kutambua juhudi, vipaji na mafanikio yao ya kitaaluma. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika tarehe 28Read More
The State University of Zanzibar (SUZA) has officially launched the LeaderAfrica Encounter 2026 Staff Week, a five-day international programme taking place from 29 June to 4 July 2026 at the Zanzibar Institute of Tourism Development (ZIToD) in Maruhubi, Zanzibar. Speaking during the opening ceremony, the Minister of Education and Vocational Training Zanzibar, Hon. Lela MohamedRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea wageni kutoka Chuo Kikuu cha New York (NYU) cha Marekani pamoja na wajumbe kutoka UNICEF katika ziara ya kielimu iliyolenga kujifunza na kubadilishana uzoefu.Ziara hiyo imehusisha wanafunzi na wahadhiri kutoka NYU ambao walipata fursa ya kujifunza kuhusu historia, uchumi wa kisiasa, utawala na usalama wa Tanzania naRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kushirikiana na Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ofisi ya Pemba, kimeendesha mafunzo ya Usalama na Usafi wa Chakula pamoja na Usalama na Maandalizi ya Dharura kwa wamiliki na wahudumu wa migahawa mbalimbali inayotoa huduma za chakula Kisiwani Pemba. Mafunzo hayo yalilenga kuongeza uelewa wa washiriki kuhusu umuhimu waRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kupitia Idara ya Mawasiliano na Mafunzo ya Habari, kimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kukuza taaluma ya habari baada ya wanafunzi wake kushiriki mafunzo maalumu yaliyotolewa na Taasisi ya Habari ya Kimataifa ya Russia Today (RT) katika Kampasi ya Kilimani. Akizungumza kuhusu mafunzo hayo, Kaimu Mkuu wa IdaraRead More
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Hamed Rashid Hikmany amaesema SUZA itaendelea kuunga mkono na kuimarisha elimu jumuishi kwa watu wenye ulemavu ili kuhakikisha wanapata fursa sawa za elimu na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii. Akizungumza na wanafunzi, walimu na wadau wa taasisi zinazoshughulikia watu wenye ulemavu katikaRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) has launched a two-day training program for prospective editors and reviewers of the SUZA Journal of Science and Technology Frontiers at the Computing Lab, Tunguu Main Campus. Held under the theme “Strengthening Academic Publishing Quality Through Effective Editorial and Peer Review Practices,” the training brings together academicians, researchers, andRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) and the Zanzibar Research Centre for Socio-Economic and Policy Analysis (ZRPC) have officially signed a Memorandum of Understanding (MoU) aimed at strengthening collaboration in research, innovation, education, and community development. The signing ceremony took place on 28th May, 2026 at the Conference Hall of the Administration Building, Tunguu Campus,Read More