Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA Prof. Abdi Talib Abdlalla amepokea ugeni kutoka Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST) kwa kufanya mazunguzo ya Kitaaluma. Ugeni huo ulioongozwa na Kaimu Naibu Mkuu wa Taasisi ya Taaluma, Utafiti, Ubunifu na Ushauri Elekezi Dkt. Zuhura Juma Ali pamoja na Mkuu wa DivisheniRead More
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA Prof Abdi Talib Abdlalla amekutana na wanafunzi kumi na watano (15) pamoja na wafanyakazi wanne (5) kwa lengo kwa kuwaaga kabla ya safari yao ya kwenda nchini Romania kushiriki katika programu ya kubadilishana uzoefu ya wiki mbili inayofadhiliwa na European Union kupitia programu ya ErasmusRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeanza rasmi kampeni ya kutoa elimu na uhamasishaji kuhusu masuala ya kijinsia, huku Timu ya Dawati la Jinsia ikizindua ziara maalum inayolenga wanafunzi, wanataaluma na watumishi wa chuo . Ziara hiyo imeanza katika Skuli ya Kilimo Kizimbani, ambapo timu hiyo ilikutana na wanafunzi na kuwapatia elimu kuhusu kanuni,Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea ziara ya wanafunzi kutoka Al-Uhda and Madrasa ya Kisauni Zanzibar, waliotembelea Kampasi ya Tunguu kwa lengo la kujifunza kwa vitendo katika nyanja za teknolojia na mawasiliano. Katika ziara hiyo, wanafunzi hao walipata fursa ya kujifunza na kushuhudia kwa karibu shughuli mbalimbali zinazofanyika katika Skuli ya Kompyuta naRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) today hosted a delegation from the East African Kiswahili Commission (EAKC) to discuss a strategic collaboration aimed at creating regional employment pathways for talented Zanzibar youth. The discussions focused on a proposed initiative through which qualified SUZA graduates from various disciplines will be recruited and engaged as interns atRead More
Today we celebrate the strength, resilience, and achievements of women around the world on International Women’s Day. As a university community, we recognize the vital role women play in education, research, innovation, and leadership. We remain committed to empowering women and girls through knowledge, equal opportunities, and inclusive learning environments. Let us continue to support,Read More
Project Title: Mapping Biomass and Carbon Stocks in the Mangrove Forests of Zanzibar to Support Blue Economy and Climate Change Mitigation and Adaptation BackgroundThe State University of Zanzibar (SUZA), in collaboration with Sokoine University of Agriculture (SUA) and the Ministry of Blue Economy, is implementing a 36-months Climate Change Research Programme funded by COSTECH. The projectRead More
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema Zanzibar inampango wa kujenga kituo cha kimataifa cha maradhi ya kansa kitakacho wezesha wagonjwa wa maradhi hayo kutibiwa hapa nchini. Akifungua mkutao wa Tano wa Jumuiya ya African Woman Health, Uliofannyika Tarehe 16/01/2026, Dkt. Mngereza Alisema kupitia mkutano huo wamejadili namna bora ya kutokomezaRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) participated in the Dissemination Workshop for the National Digital Education Strategy (NDES) 2030 and its Implementation Guidelines, held on 14–15 January 2026 at Dr. Mafumiko Hall, GCLA, Dodoma, under the theme “Integration of Digital Technologies to Enhance Teaching and Learning.” SUZA was represented by the Deputy Vice Chancellor –Read More