Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema Zanzibar inampango wa kujenga kituo cha kimataifa cha maradhi ya kansa kitakacho wezesha wagonjwa wa maradhi hayo kutibiwa hapa nchini. Akifungua mkutao wa Tano wa Jumuiya ya African Woman Health, Uliofannyika Tarehe 16/01/2026, Dkt. Mngereza Alisema kupitia mkutano huo wamejadili namna bora ya kutokomezaRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) participated in the Dissemination Workshop for the National Digital Education Strategy (NDES) 2030 and its Implementation Guidelines, held on 14–15 January 2026 at Dr. Mafumiko Hall, GCLA, Dodoma, under the theme “Integration of Digital Technologies to Enhance Teaching and Learning.” SUZA was represented by the Deputy Vice Chancellor –Read More
Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Charles Kihampa amewahimiza wakuu wa Skuli za Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuwafundisha wanafunzi wao kwa vitendo ili wakiajiriwa watekeleze majukumu yao kwa ufanisi. Hayo aliyasema wakati akizungumza na Wakuu wa Skuli na Wakurugenzi wa SUZA kwenye kikao kilichofanyika kwenye ofisi za makaoRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeahidi kuendeleza ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Global Health Equity (UGHE) cha Rwanda, kwa lengo la kuboresha huduma za afya na kuinua ubora wa elimu katika sekta hiyo kwa pande zote mbili. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi TalibRead More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu HassanRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Baraza la Chuo, Menejimenti, na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu za dhati zaRead More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan MwinyiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Baraza la Chuo, Menejimenti na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamuRead More
Naibu Makamu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, amewataka wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kutumia rasilimali za Chuo kwa manufaa ya taasisi na taifa kwa ujumla badala ya kuzitumia kwa maslahi yao binafsi. Prof. Abdi Talib Abdallah alitoa witoRead More
Leo tarehe 15 Oktoba 2025, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, alitembelea Skuli na taasisi mbalimbali ndani ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar – SUZA kwa lengo la kuzitembelea kampasi za Chuo na kukutana na Wakuu wa Skuli pamoja na Wakuu wa Idara. Ziara hiyoRead More