Zanzibar – In an inspiring move to deepen its connection with the local community, the State University of Zanzibar (SUZA) has urged stakeholders to actively engage in its transformative Building Stronger University (BSU4) project. During a dynamic stakeholder meeting at Golden Tulip Airport Hotel in Kiembe Samaki, SUZA’s Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, highlightedRead More
Wananchi kadhaa waliotembelea banda la maonesho ya Chakula yanayoendelea huko Chamanangwe mkoa wa Kusini Pemba wamevutiwa na utaalamu uliobuniwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa zanzibar (SUZA). Miongoni mwa jambo lililowavutia wengi na kuwa watulivu kupokea maelezo kutoka kwa mtaalamu aliyebuni teknolojia hiyo Khamis Said Moh’d, mwanafunzi aliyemaliza Shahada ya Usimamizi wa Teknolojia yaRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kinapenda kuutaarifu umma kuwa kimetoa orodha ya Majina ya waliochaguliwa kujiunga na masomo awamu ya pili kwa ngazi ya cheti, diploma na degree kwa mwaka wa masomo 2024/2025 kwa program mbali mbali kama zinavyojionesha hapo chini. Chuo pia kinapenda kuwataarifu waombaji wote waliochaguliwa kuwa, wahakikishe wanaingia katika akaunti zaoRead More
Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amefanya mazungumzo na ujumbe kutoka Shirika la Maendeleo la UNDP kuhusiana kuendeleza ushirikiano uliopo baina ya taasisi hizo. Mazungumzo hayo ambayo pia yaliwashirikisha watendaji wa UNDP yalifanyika leo 23/09/2024 katika Ofisi za makao makuu SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja, ambapoRead More
Waziri wa Waziri wa Nchi (OR) Katiba, Sheria na Utumishi wa na Utawala Bora, Mwalim Haroun Ali Suleiman, ametoa wito kwa Taasisi za Elimu za Zanzibar kufanya tafiti nyingi zenye matokeo yatakayoleta mabadiliko kwa maendeleo ya jamii. Akifungua Kongamano la Kitaaluma la kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Malipo Zanzibar lililofanyika katika ukumbi waRead More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Haroun Ali Suleiman, amewahimiza walimu kuzingatia uzalendo, uadilifu, na utii katika kazi zao ili kuboresha sekta ya elimu Zanzibar. Akizungumza katika ufunguzi wa Kongamano la Kitaaluma la kuadhimisha Miaka 60 ya Elimu Bila Malipo lililofanyika Maruhubi, Mkoa wa Mjini Unguja, Mhe. HarounRead More
WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Mhe. Sharif Ali Sharif ametoa wito kwa Taasisi za Elimu Zanzibar kuendeleza vipaji vya wanafunzi kuanzia maandalizi hadi sekondari. Alisema hatua hiyo itachangia kuwawezesha kuwa mahiri na wabunifu katika fani mbalimbali kulingana na mazingira wanayotokea. Akizungumza katika sherehe ya maadhimisho ya miaka 60 ya ElimuRead More