Uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar wakagua maendeleo ya ujenzi wa ukuta wa Kampasi ya Benjamin William Mkapa iliyopo Mchangamdogo, Wilaya ya Wete Kisiwani Pemba.Akikagua ujenzi huo Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Moh’d Makame Haji amesema lengo la ujenzi huo ni kuangalia maendeleo ya kazi ya ujenzi inayoendelea Prof. Haji amesisitiza kuwa ujenziRead More