The State University Of Zanzibar

In a significant step toward fostering international academic collaboration, a delegation from the University of Oradea, Romania, paid an official visit to the State University of Zanzibar (SUZA), where they were warmly received by SUZA’s Vice Chancellor, Professor Mohamed Makame Haji, and Dr. Abubakar Diwani Bakari.  The high-level meeting, held at SUZA’s main campus, focused on exploring strategic partnerships
Read More
Makamu Mkuu wa Wa Chuo Kikuu cha Taifa  cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, ameelezea kuridhishwa na Shirika la Maendeleo la NORAD la Norway   linavyoendelea kuiunga mkono SUZA katika utekelezaji wa mairadi mbali mbali ya kitaaluma. Katika mazungumzo yaliyofanyika  katika ofisi  za makao makuu ya  SUZA  Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja akiwa na
Read More
Chuo Kikuu cha Bonga kilichopo nchini Adis Ababa, Ethiopia kimekiomba Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar  (SUZA) kushirikiana nao  kuikuza taaluma hususan kuieneza lugha ya Kiswahili nchini humo. Katika mazungumzo hao yaliyoushirikisha uongozi wa Chuo yaliyoongozwa na Mkurugenzi   wa Shahada  za Awali,  Dk. Khamis Haji Salum , Rais wa Chuo cha Bonga Dk. Petros  WOldegiorgis
Read More
Advancing Medical Education in Africa Conference (MedEdAfrica 2025) has achieved a major milestone in African medical education. Hosted by the Ministry of Health of Rwanda, University of Global Health Equity (UGHE) in Kigali, Rwanda, the two-day event, held from March 24–25, 2025. The conference brought together over 600 delegates, including deans and faculty from 115
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amepokea wazo la kushirikiana na Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika Kujipima kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) utakaoongeza kasi ya utekelezaji wa dhana hiyo kuwaongezea ujuzi wanataaluma kwa kushirikiana na wadau wengine katika kutoa elimu. Hatua hiyo imefikiwa
Read More
MAKAMU Mkuu  wa Chuo Kikuu cha Taifa cha  Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amewakumbusha  wadau wa Chuo hiki  kuzingatia kuweka  kipengele cha kulinda maadili na kutunza nidhamu  kwenye Sera ya Michezo ya SUZA. Alisema washiriki wa michezo watambue  kuwa  wao ni wanafunzi wa SUZA  wakati wakiendelea na michezo walinde heshima zao, Chuo na nchi
Read More
SUZA yawaandaa viongozi mahiri NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee Wanawake na Watoto Mhe. Anna Athanus Paul amesema Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kinawaandaa viongozi mahiri watakaoweza kusimamia mipango na mikakati mikuu ya nchi siku zijazo. Akitoa hutuba ya maadhimisho ya Siku ya Ustawi wa Wanafunzi yaliyoandaliwa na Serikali ya Wanafunzi
Read More
Mwalimu Mkuu wa idara ya Kiswahili Idara ya Kiswahili kwa Wageni Bi. Shani Khalfan ameushukuru uongozi wa Chuo Kikuu cha Withwoth cha Marekani kwa kuendelea kuichagua SUZA kupokea wanafunzi wake kwa ajili ya kuwasomesha lugha ya Kiswahili. Alisema huduma hiyo wamekuwa wakiitoa kwa muda wa miaka 10 bila kusita na ana matumaini kuwa wataendelea kuwa
Read More
SUZA, Emirates watiliana saini ujenzi wa dakhalia Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimetiliana saini na mkandarasi Emirates Company Ltd katika ujenzi jengo la ghorofa n e la Dakhalia ya Wanafunzi Wanawake unaofadhiliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Tukio hili linaashiria hatua muhimu katika juhudi za kuimarisha fursa za elimu na kukuza mazingira bora
Read More
The Vice-Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, has emphasized the importance of the university utilizing the opportunity to collaborate with visitors from countries that have made significant progress in modern technology, which aligns with the country’s policy to strengthen the digital economy. He made these remarks on January 10,
Read More
1 5 6 7 8 9 13