The State University Of Zanzibar

Makamu Mkuu wa Wa Chuo Kikuu cha Taifa  cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, ameelezea kuridhishwa na Shirika la Maendeleo la NORAD la Norway   linavyoendelea kuiunga mkono SUZA katika utekelezaji wa mairadi mbali mbali ya kitaaluma. Katika mazungumzo yaliyofanyika  katika ofisi  za makao makuu ya  SUZA  Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja akiwa na
Read More