MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amewakumbusha wadau wa Chuo hiki kuzingatia kuweka kipengele cha kulinda maadili na kutunza nidhamu kwenye Sera ya Michezo ya SUZA. Alisema washiriki wa michezo watambue kuwa wao ni wanafunzi wa SUZA wakati wakiendelea na michezo walinde heshima zao, Chuo na nchiRead More