Chuo Kikuu cha Bonga kilichopo nchini Adis Ababa, Ethiopia kimekiomba Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kushirikiana nao kuikuza taaluma hususan kuieneza lugha ya Kiswahili nchini humo. Katika mazungumzo hao yaliyoushirikisha uongozi wa Chuo yaliyoongozwa na Mkurugenzi wa Shahada za Awali, Dk. Khamis Haji Salum , Rais wa Chuo cha Bonga Dk. Petros WOldegiorgisRead More