The State University Of Zanzibar

The State University of Zanzibar (SUZA), through its School of Education, organized a public lecture on improving academic and research writing skills for postgraduate studies, with a special focus on students whose first language is not English. The lecture was delivered by Prof. Emmaculee Harushimana (Ms. Maua) from City University of New York (CUNY), USA.
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kushirikiana na kampuni ya Halotel wameendesha Bonaza la Michezo lililowashirikisha Wanafunzi wa kampasi za SUZA, Serikali ya wanafunzi SUZASO na wadau wa michezo Zanzibar. Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Skuli ya Afya SUZA, Dkt. Salma Abdi Mahmoud, Afisa Michezo kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Read More
Watafiti, Wanafunzi na Wanachi wametakiwa kuwa na utamaduni wa kusoma vitabu ili kuongeza fikra, historia, na kuweza kujifunza mbinu mbali mbali za kimaarifa. Wito huo huo umetolewa na Mwandishi mashuhuri wa vitabu visiwani Zanzibar na Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Jabir, wakati wa ufunguzi wa kitabu chake kipya cha Uchumi wa Mashamba wakati wa Ukoloni wa
Read More
The State University of Zanzibar (SUZA), through Build Strong University (BSU 4) successfully conducted a three-day Grant Proposal Writing Workshop from 14th to 16th January 2026. The training focuses on strengthening institutional capacity for grant application and management, and was facilitated by Ms. Camilla Riel and Ms. Fatima Sabir from Roskilde University at Denmark. The
Read More
Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mipango, Fedha na Utawala, Prof. Salum Seif Salum amewahimiza waratibu wasimamizi wa vikao wa SUZA, kuleta mabadiliko yatakayo saidia kukuimarisho Chuo hicho. Amezungumza hayo wakati wa ufungaji wa Mafunzo hayo kwa niaba ya Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Abdi Talib Abdalla katika
Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema Zanzibar inampango wa kujenga kituo cha kimataifa cha maradhi ya kansa kitakacho wezesha wagonjwa wa maradhi hayo kutibiwa hapa nchini. Akifungua mkutao wa Tano wa Jumuiya ya African Woman Health, Uliofannyika Tarehe 16/01/2026, Dkt. Mngereza Alisema kupitia mkutano huo wamejadili namna bora ya kutokomeza
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kushirikiana na wataalamu kutoka nyanja mbali mbali za Mtandao wa Vitu (internet of Things- IoT) wamejadiliana maeneo ya ushirikiano wa kitaaluma ili kuimarisha utafiti wa elimu ya fani kadhaa kwa pamoja hapa Zanzibar. Mkutano wa siku mbili ulijadili masuala ya kilimo,, ukusanyaji data, afya ya binadamu na
Read More
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, Prof. Abdi Talib, ameshiriki kwenye warsha ya kujenga uelewa wa pamoja juu ya Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya Teknolojia ya Kidijiti katika Elimu (20/2025- 2029/2030) na kupata fursa ya kushiriki mjadala wa utekelezaji wa mkakati huu. Aidha, Dkt. Abdulrahim Ali, mmoja wa wataalamu waliotayarisha
Read More
1 2 3 21