Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Muhamed Mussa, amewataka wakandarasi na wasimamizi wa miradi ya ujenzi inayoendelea katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuhakikisha wanazingatia masharti ya mikataba na kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa. Mhe. Waziri ametoa kauli hiyoRead More