The State University Of Zanzibar

‎‎Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea wageni kutoka Chuo Kikuu cha New York (NYU) cha Marekani pamoja na wajumbe kutoka UNICEF katika ziara ya kielimu iliyolenga kujifunza na kubadilishana uzoefu.‎‎Ziara hiyo imehusisha wanafunzi na wahadhiri kutoka NYU ambao walipata fursa ya kujifunza kuhusu historia, uchumi wa kisiasa, utawala na usalama wa Tanzania na
Read More