The Council of State University of Zanzibar seeks to recruit Deputy Vice-Chancellor Academic, Research and Consultancy from suitably qualified and competent Tanzanian candidates with excellent credentials. The Deputy Vice-Chancellor Academic, Research and Consultancy shall work under the directive of the Vice-Chancellor of the University.Qualifications and Experience:The candidates should possess the following qualifications and experience.– BeholdersRead More
Hhini ya Mradii wa Youth Ignit unaosimamiwa na Starthub African unaofadhiliwa wa UNDP ambalo limeshirikisha vyuo 10 nchini Tanzania ikishirikisha jumla ya wanafunzi 30. Mshindi wa kwanza ni mwanafunzi William Frank kutoka Skuli ya Kompyuta Mawasiliano na Masomo ya Habari akiwa na wazo la Kibenki Fintech inayosaidia wafanyakazi wa hali ya chini kupata sehemu yaRead More
Funded by European Union Erasmus+ Programme, SUZA CyberSecurity Remote Lab has seen the implementation at SUZA ‘s Tunguu campus. Staff from the Department of Computer Science and Center for ICT services have been the early adopters of the concepts of remote lab. One day session has been conducted to familiarize the staff to the infrastructureRead More
Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeambatana na uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar katika ziara maalum iliyofanywa leo tarehe 18 Novemba, 2024 katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kilichopo Mkoa wa Mbeya, ili kujifunza kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Higher Education for Economic Transformation (HEET). Ziara hiiRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) met with a delegation from the International Union for Conservation of Nature (IUCN) and the OCP Foundation to discuss how they can collaborate in areas of mutual interest that they are working on. The institutions met on November 14, 2024, at SUZA’s headquarters in Tunguu, South Unguja, where theyRead More
Kongamano la Kimataifa la Kiswahili limefanyika katika mji wa Havana, nchini Kuba, tarehe 8 na 9 Novemba, 2024. Kongamano hili limehusisha wataalamu na wadau wa Kiswahili kutoka Tanzania na nje ya Tanzania pamoja na wenyeji wa Kuba. Jopo kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) likiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo, Profesa Moh’d MakameRead More
Waziri wa Mambo ya nje wa Jamhuri ya Kuba Mhe. Bruno Rodriguez Parrilla(Kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Prof. Moh’d Makame Haji wakizindua kitabu cha kujifunza kihispania kwa Kiswahili toleo la kwanza katika kongamano la kimataifa la kiswahili Novemba 8, 2024 Havana nchini Kuba. Kitabu hicho kilichozinduliwa ni cha ChuoRead More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Kampuni ya Ujenzi ya Mohammed Builders Limited zimetiliana saini mkataba wa ujenzi wa majengo mawili ya Skuli ya Kilimo na Maabara unasimamiwa na Mpangosi. Tukio hilo lililofanyika tarehe (4/11/2024) katika ofisi za Makao makuu ya SUZA Kampasi ya Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja, limewashirikisha Makamu Mkuu waRead More