The State University Of Zanzibar

Mratibu Mkuu wa Mradi wa Mageuzi ya Elimu ya Juu Kiuchumi (HEET) Dkt. Kennedy Hosea, amewahimiza wakandarasi  wa ujenzi wa mradi huo kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha kazi yao kwa  wakati uliopangwa. Alisema Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kiko karibu na wakandarasi    kushirikiana nao kwa kila hali ili kutatua changamoto zinazotokea kama
Read More
Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania  (TCU),  Prof. Charles Kihampa amewahimiza wakuu wa Skuli za  Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuwafundisha wanafunzi wao  kwa vitendo ili wakiajiriwa watekeleze majukumu yao kwa ufanisi.  Hayo aliyasema  wakati akizungumza na Wakuu wa Skuli na Wakurugenzi wa SUZA kwenye kikao kilichofanyika kwenye ofisi za makao
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR SCHOOL OF EDUCATION  Terms of Reference (ToR) for External Evaluator – RADIC Project Final Evaluation RADIC Final Evaluation – Terms of Reference 1. Background The Rehabilitation for All through Digital Innovations and New Competences (RADIC) project aims to strengthen digital rehabilitation capacity and collaboration in East Africa. Through partnerships among
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea ujumbe wa maofisa kutoka Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) tarehe 8 Januari 2026 katika makao makuu yake Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja. Ziara hiyo ni sehemu ya mfululizo wa mikutano ya TANAPA na wadau wake, sambamba na ushiriki wao katika maonesho ya biashara yanayoendelea Dimani, Mkoa wa
Read More