Plastic pollution is an urgent environmental challenge facing coastal areas, particularly our beaches. On Monday, August 18, at 8:30 AM, students from The State University of Zanzibar (SUZA), together with Mawimbi team and Volunteers at SUZA, conducted a clean-up activity at Kizingo beach. The main objective was to combat plastic waste, which threatens marine life,Read More
On Monday , August 18th at 8:30 am, a wave of community spirit swept across Kizingo Beach as Mawimbi, joined hands with KOICA volunteers from South Korea and SUZA Second year Students to launch its first-ever plastic cleanup activity by collecting and sorting plastic and non-plastic waste with gloves and reusable bags. The initiative isRead More
In a push to tackle plastic pollution threatening Zanzibar’s coasts, Mawimbi Youth Voices of Zanzibar teamed up with students from the State University of Zanzibar, KOICA volunteers from South Korea, and TROCEN staff in a cleanup at Kizingo Beach, held on Monday, 18 August 2025. As the day began at Kizingo Beach, the calm seaRead More
SUZA imeonesha utayari wake wa kuendeleza ushirikiano wa karibu na Chuo Kikuu cha SAN cha Poland, ikiwa ni pamoja na kukiomba Chuo Kikuu cha SAN kafungua tawi lake SUZA, kutoa fursa za kuwajengea uwezo wanataaluma katika mafuala ya tafiti na kubadilishana uzoefu katika ufundishaji. Hatua hii inalenga kuimarisha mahusiano ya kielimu kati ya vyuo hivyoRead More
Wakaguzi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Tanzania wameridhishwa na utekelezaji wa ujenzi wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA). Hayo yalisemwa na wakaguzi hao wakati wakiwa katika kikao na Watendaji (PIU) wa Mradi huo kwa lengo la kukagua mendeleo ya mradiRead More
Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar (SUZA) kimefikia asilimia 39 ya utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) katika ujenzi wa majengo ya Maabara na Skuli ya Kilimo, kutokana na tathmini hiyo Mkandarasi yupo ndani ya muda.Read More
Chuo Kikuu cha Osaka, Japani, kimefungua fursa mpya za kitaaluma kwa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kwa kusaidia wanafunzi na wataalamu wake kujiunga na taasisi mbalimbali za kimataifa zinazotoa programu za masomo ya Sayansi na lugha. Akizungumza katika kikao maalum cha tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa ushirikiano kati ya SUZA na ChuoRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kinapanga kuanzisha taasisi ya ubaharia kama sehemu ya juhudi zake za kupanua mafunzo ya kiufundi na kitaaluma visiwani Zanzibar. Kauli hiyo imetolewa na Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Moh’d Makame Haji, alipokutana na Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Mhe. Tri Yogo Jatmiko, katika makao makuu ya Tunguu mapemaRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kupitia wanafunzi wake wanawapatia elimu ya Kilimo wanavijiji wanaowazunguka kwa lengo la kuimarisha sekta hiyo na kukabiliana na changamoto zinazowakabili. Hayo yalisemwa na Bwana Ali Moh’d Ali ambaye ni mkufunzi wa Skuli ya Kilimo SUZA akiwa katika viwanja vya Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Kizimbani,Read More