VIONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Camerino (UNICAM) cha Italia wamejadiliana namna ya kuendeleza ushirikiano wa kitaaluma ili kuongeza kasi maendeleo kwenye nyanja ya elimu na kutoa wahitimu waliobobea kwenye program wanazotoa. Vyuo hivyo viwili vilitiliana saini mkataba wa ushirikiano mwaka 2019 katika taaluma kwa kubadilishana wanafunzi, kufanyaRead More
WADAU kutoka taasisi zinazoshughulikia masuala ya bahari Tanzania wamepitia rasimu ya mtaala wa mafunzo ya usalama wa bahari ili kuwawezesha kuitumia rasilimali hiyo kwa maendeleo endelevu. Akifungua kikao kilichofanyika makao makuu ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) tarehe 24/06/2025, Makamu Mkuu wa chuo hiki alisema hatua hii ni muhimu kufanyiwa kazi ipasavyo kwaniRead More
Osaka, Japani — 1 Julai 2025Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimejitokeza kwa fahari kubwa kushiriki rasmi katika uzinduzi wa Juma la Kiswahili na Utamaduni uliofanyika jijini Osaka, Japani, ikiwa ni sehemu ya Tamasha la Kibiashara la Kimataifa la Osaka 2025. Akizungumza katika hafla hiyo ya uzinduzi, Makamu Mkuu wa SUZA, Profesa Mohamed MakameRead More
A transformative Training of Trainers on Scientific Communication is currently taking place at the State University of Zanzibar – Institute of Tourism, under Work Package 4 of the SCOPPET Project This training brings together experts from Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo), Jimma University (Ethiopia), and SUZA, combining regional knowledge and international expertise to buildRead More
A powerful three-day workshop brought together researchers and scholars from Jimma University (Ethiopia), State University of Zanzibar (SUZA), and Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo) in Tanzania to strengthen science communication skills under the SCOPPET Project. Designed to enhance the capacity of project team members, the workshop featured both local and remote facilitation, enabling activeRead More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeunda ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Misri cha Sadat City (USC) ambapo kinatarajia kufungua tawi la Chuo hicho kitakachokuwa na ofisi zake katika kampasi za SUZA. Akizungumza katika hafla fupi ya kujadiliana namna ya kutekeleza ushirikiano huo, Makamu Mkuu wa SUZA, Prof. Moh’d Makame Haji, alisemaRead More
Kituo cha Center for Digital Learning (CDL) cha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kwa kushirikiana na Taasisi ya Shule Direct ya Tanzania, kimeingia katika ushirikiano wa kimkakati kutekeleza Mradi wa Virtual Learning Environment (VLE) wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, ikiwa ni jitihada mahsusi za kuimarisha sekta ya elimu kupitia matumiziRead More
Professor Moh’d Makame Haji, Vice Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA), held a meeting with a delegation from South Africa’s University of Limpopo. The meeting took place today, June 19, 2025, at the conference hall on the Tunguu Campus. The delegation, led by Mr. Melusi Nxumalo, Director of Student Governance and Development atRead More
1.0 Introduction University of Dar es Salaam, State University of Zanzibar and University of Copenhagen, Denmark, herewith announce two Post Doc positions offered under the research project Himili Pamoja, Gendered Encounters in Climate Change Adaptation”, funded by Danida Fellowship Centre (DFC), Ministry of Foreign Affairs of Denmark (DANIDA). From a Gender transformative perspective, the HimiliRead More