Chuo Kikuu cha Osaka, Japani, kimefungua fursa mpya za kitaaluma kwa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kwa kusaidia wanafunzi na wataalamu wake kujiunga na taasisi mbalimbali za kimataifa zinazotoa programu za masomo ya Sayansi na lugha. Akizungumza katika kikao maalum cha tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa ushirikiano kati ya SUZA na ChuoRead More