Mwenyekiti wa Kamati ya Mkusanyiko Kitaalamu (Convocation) Mhe. Riziki Juma Pembe amezindua rasmi Kamati za Mkusanyiko huo zilizowashirikisha wajumbe 14 ambapo mwengine anatarajiwa kutajwa hivi karibuni.Akizungumza katika mkutano huo wa pili wa mwaka wa Mkusanyiko huo uliofanyika katika Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) ya Taasisi ya Utalii, Maruhubi tarehe 22/12/2024 alizitaja Kamati hizoRead More
Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeambatana na uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar katika ziara maalum iliyofanywa leo tarehe 18 Novemba, 2024 katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kilichopo Mkoa wa Mbeya, ili kujifunza kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Higher Education for Economic Transformation (HEET). Ziara hiiRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) met with a delegation from the International Union for Conservation of Nature (IUCN) and the OCP Foundation to discuss how they can collaborate in areas of mutual interest that they are working on. The institutions met on November 14, 2024, at SUZA’s headquarters in Tunguu, South Unguja, where theyRead More
Waziri wa Mambo ya nje wa Jamhuri ya Kuba Mhe. Bruno Rodriguez Parrilla(Kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Prof. Moh’d Makame Haji wakizindua kitabu cha kujifunza kihispania kwa Kiswahili toleo la kwanza katika kongamano la kimataifa la kiswahili Novemba 8, 2024 Havana nchini Kuba. Kitabu hicho kilichozinduliwa ni cha ChuoRead More
Deepening Educational and Cultural TiesState University of Zanzibar (SUZA) Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, led a high-level delegation to China to further strengthen educational and cultural ties between the two nations. The delegation included representatives from Zanzibar University, Leera School, and other key stakeholders from the public and private sectors. A primary focus ofRead More
MKUU wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Moh’d Makame Haji amezindua mfumo mpya wa masomo ya kimtandao ‘Myloft – My Library of Finger Print’ ambao utasaidia upatikanaji wa taarifa za kimasomo kwa njia rahisi. Alisema mfumo huo utachangia kuwawezesha wanafunzi na wafanyakazi kufanya kazi zao hasa ikizingatiwa kuwa kumekuwa na ongezeko la wanafunziRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea mtaalamu atakayefundisha elimu ya sayansi ya michezo kwa ajili ya kuimarisha sekta hiyo katika Chuo hicho. Akizungumza na mtaalamu huyo, Yutaka Ide anatokea Hiroshima nchini Japani, mazungumzo yaliyofanyika makao makuu ya SUZA Tunguu mkoa wa Kusini Unguja, Makamo Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Moh’d Makame Haji alisemaRead More
Call for One PhD Scholarship position on marine coastal ecosystem restoration (seagrasses) using integrated approach under the Building Stronger Universities Project (BSU-IV) at The State University of Zanzibar Re-advertised Project Outline The Danish Ministry of Foreign Affairs has granted full support to the fourth phase of the BuildingStronger Universities project (BSU-IV) at the State UniversityRead More