The State University Of Zanzibar

Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimedhamiria kuanzisha mashirikiano na Chuo Kikuu cha Osaka nchini Japan yenye lengo la kukuza mashusiano kwenye Taaluma, Tafiti na kubadilishana wataalamu na wanafunzi kwenye maeneo ya lugha, utamaduni na afya. Haya yamesemwa na Makamu Mkuu wa SUZA Prof. Moh’d Makame Haji alipofanya mazungumzo na Mwakilishi kutoka Chuo Kikuu
Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein  Mwinyi ametembelea banda la maonesho la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) lililoonesha huduma mbali mbali zinazotolewa na taasisi za Chuo hiki. Dk. Mwinyi  alipewa maelezo ya shughuli zinazotekelezwa na SUZA ikiwa ni pamoja na masuala ya afya ya binadamu na wanyama, ujasiriamali,
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimefanya mazungumzo na Taasisi ya Sayansi za  Hisabati ya Afrika (African Institute for Mathematical Sciences – AIMS) tawi la Rwanda, yakilenga kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali, hususan ufundishaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati. Mazungumzo hayo, yaliyofanyika tarehe 29 Aprili 2025 katika  ofisiza makao makuu
Read More
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Dk. Hashim Hamza Chande SUZA imetoa shukurani kwa kupata heshima kuchaguliwa kuwa ni mahala pa kutolewa mhadhara wa masuala ya anga. Hayo aliyasema wakati akimkaribisha mtaalamu ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Omani Space Astronomical Society, Bw. Abdulwahab Suleiman AlBusaid aliyefika nchini kwa ajili
Read More
In a significant step toward fostering international academic collaboration, a delegation from the University of Oradea, Romania, paid an official visit to the State University of Zanzibar (SUZA), where they were warmly received by SUZA’s Vice Chancellor, Professor Mohamed Makame Haji, and Dr. Abubakar Diwani Bakari.  The high-level meeting, held at SUZA’s main campus, focused on exploring strategic partnerships
Read More
Makamu Mkuu wa Wa Chuo Kikuu cha Taifa  cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, ameelezea kuridhishwa na Shirika la Maendeleo la NORAD la Norway   linavyoendelea kuiunga mkono SUZA katika utekelezaji wa mairadi mbali mbali ya kitaaluma. Katika mazungumzo yaliyofanyika  katika ofisi  za makao makuu ya  SUZA  Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja akiwa na
Read More
Chuo Kikuu cha Bonga kilichopo nchini Adis Ababa, Ethiopia kimekiomba Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar  (SUZA) kushirikiana nao  kuikuza taaluma hususan kuieneza lugha ya Kiswahili nchini humo. Katika mazungumzo hao yaliyoushirikisha uongozi wa Chuo yaliyoongozwa na Mkurugenzi   wa Shahada  za Awali,  Dk. Khamis Haji Salum , Rais wa Chuo cha Bonga Dk. Petros  WOldegiorgis
Read More
Advancing Medical Education in Africa Conference (MedEdAfrica 2025) has achieved a major milestone in African medical education. Hosted by the Ministry of Health of Rwanda, University of Global Health Equity (UGHE) in Kigali, Rwanda, the two-day event, held from March 24–25, 2025. The conference brought together over 600 delegates, including deans and faculty from 115
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amepokea wazo la kushirikiana na Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika Kujipima kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) utakaoongeza kasi ya utekelezaji wa dhana hiyo kuwaongezea ujuzi wanataaluma kwa kushirikiana na wadau wengine katika kutoa elimu. Hatua hiyo imefikiwa
Read More
MAKAMU Mkuu  wa Chuo Kikuu cha Taifa cha  Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amewakumbusha  wadau wa Chuo hiki  kuzingatia kuweka  kipengele cha kulinda maadili na kutunza nidhamu  kwenye Sera ya Michezo ya SUZA. Alisema washiriki wa michezo watambue  kuwa  wao ni wanafunzi wa SUZA  wakati wakiendelea na michezo walinde heshima zao, Chuo na nchi
Read More
1 2 3 4 8