The State University Of Zanzibar

Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimesaini HAti ya Mashirikiano na Taasisi ya African Peer Review Mechanism (APRM)-Tanzania. Mkataba huo umesainiwa na Profesa Mohd Makame Haji, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa upande wa SUZA na Ndg. Lamau August Mpolo, Katibu Mtendaji wa Taasisi ya APRM Tanzania katika hafla
Read More
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji, amesema SUZA kinaendelea kujipanga kutanua wigo ili kuwa Chuo kinachoongoza kwa kutoa taaluma bora katika nchi za kiafrika. Akizungumza na ujumbe watu sita kutoka katika kituo cha Uchapishaji  wa Vitabu cha Qunyan cha  China kilichoko chini ya  Chuo Kikuu cha Zhejiang Normal University 
Read More
Leo tarehe 13 Julai 2025, Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yamefikia tamati katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa, Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kilikuwa miongoni mwa taasisi zilizoshiriki kikamilifu katika maonesho hayo ya siku kumi na nne, yakilenga kuonesha bidhaa, huduma na
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar kitashiriki Wiki ya Maonesho ya Sita ya Elimu ya Juu yanayoandaliwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar. Karibu utembelee banda letu kwa kupata hufuma mbalimbali kama vile udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2025/2026, ushauri wa kuchagua programu, kuona mifumo mbali mbali iliyoandaliwa na
Read More
MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, Bi Saade Said Mbarouk, amesema watanzania wana tunu adhimu ya kujivunia inayoendelea kuwaunganisha katika harakati zao zote za maisha, licha ya kuwepo makabila mengi na lugha zao. Akizungumza katika shamrashamra za maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani zilizofanyika kwenye kwenye kampasi ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA)
Read More
Naibu Makamu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Fedha, Mipango na Utawala wa Chuo Kikuu cha taifa cha Zanzibar (SUZA), Dkt. Hashim Hamza Chande, ameushukuru Umoja wa Vyuo Vikuu vya Jumuia ya Madola (The Association of Common Wealth Universities – ACU) kwa mchango mkubwa wa kitaaluma inayoendelea kuitoa kwa SUZA. Akizungumza katika hafla fupi ya kumkaribisha Mkuu
Read More
VIONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Bahari cha Dar es Salaam wamesaini hati ya makubaliano kuongeza ushirikiano wa kitaaluma ya kutoa mafunzo ya ubaharia. Utiaji saini huo ulifanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya SUZA yaliyoko Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 26/06/2025 ambao uliwashirikisha wadau, watendaji na
Read More
WADAU kutoka taasisi zinazoshughulikia masuala ya bahari Tanzania wamepitia rasimu ya mtaala wa mafunzo ya usalama wa bahari ili kuwawezesha kuitumia rasilimali hiyo kwa maendeleo endelevu. Akifungua kikao kilichofanyika makao makuu ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) tarehe 24/06/2025, Makamu Mkuu wa chuo hiki alisema hatua hii ni muhimu kufanyiwa kazi ipasavyo kwani
Read More
Osaka, Japani — 1 Julai 2025Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimejitokeza kwa fahari kubwa kushiriki rasmi katika uzinduzi wa Juma la Kiswahili na Utamaduni uliofanyika jijini Osaka, Japani, ikiwa ni sehemu ya Tamasha la Kibiashara la Kimataifa la Osaka 2025. Akizungumza katika hafla hiyo ya uzinduzi, Makamu Mkuu wa SUZA, Profesa Mohamed Makame
Read More
Ujenzi wa jengo la Skuli ya Kilimo (Agriculture Building) na la Maabara (Laboratory Complex) wa mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) umefikia asilimia 33 hadi mwezi huu wa tano. Taarifa hiyo imetolewa leo katika kikao cha tathmini ya ujenzi (Site Meeting) kimefanyika leo tarehe 28/05/2025 Makao makuu ya Chuo Tunguu. Aidha,
Read More
1 2 3 4 10