The State University Of Zanzibar

THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) VACANCY ANNOUNCEMENT RE-ADVERTISED POSITION: DEPUTY VICE-CHANCELLOR – PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar, established under Act No. 8 of 1999 and subsequently amended by Act No. 11 of 2009, Act No. 7 of 2016, Act No. 1 of
Read More
Zaidi ya Shilingi Bilioni Tisa zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Bahari (Chuo cha Ubaharia) cha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), hatua inayolenga kuimarisha sekta ya elimu ya bahari na kuongeza idadi ya wataalamu wazalendo katika nyanja za ubaharia, usafiri wa majini, na uchumi wa buluu. Ujenzi wa chuo
Read More
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Cha Zanzibar SUZA, Prof. Abdi Talib Abdalla amewasisitiza wanafunzi wa chuo hicho kuchgangamkia fursa ya kujifunza Lugha ya Kichina kutokana na kua na fursa nyingi zinazo patikana katika lugha hiyo Akizungumza kwa Niaba yake, Mkuu wa Skuli ya Elimu SUZA Dkt. Said Khamis Juma Wakati wa hafla
Read More
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imetiliana saini na kampuni ya Ms TIL Construction Limited mkataba wa ujenzi jengo la Taasisi ya Mafunzo ya Bahari ulioko chini ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) chini ya Mradi wa Kuwajengea Uwezo Vijana  Kujiajiri na Kuajirika  Kupitia Uchumi wa Buluu (SEBEP). Ujenzi huo utajumuisha jengo ya
Read More
E-JUST Fall 2026 International Admission Flyer (M.Sc. TICAD8 Scholarships) Download |
Read More
Time ya Michezo ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) imewasilisha nyumbani vikombe sita (6) na medali nane (8) kufuatia ushindi wa mashindano ya michezo iliyovishirikisha Vyuo Vikuu vya Tanzania (TUSA).Michezo iliyoshindaniwa ni WoodBall (mshindi wa kwanza wanaume na mshindi wa pili wanawake), Chess (mshindi wa kwanza wanawake), Scrabble (mshindi wa kwanza wanaume na
Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa moja ya alama muhimu za maendeleo ya Taifa lolote ni ubora wa Elimu ya Juu yenye uwezo wa kuzalisha wataalamu wanaoweza kuhimili changamoto za Karne ya 21, hususan katika nyanja za sayansi na teknolojia. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo
Read More
CHUO Kikuu Cha Taifa Cha  Zanzibar  (SUZA) kimetoa mafunzo maalum ya Itifaki ya viongozi wa kitaifa  ili   kuimarisha uandaaji na uendeshaji wa  Mahafali ya 21 yanayotarajia kufanyika tarehe 20  mwezi. Akitoa mafunzo hayo kwa Kamati ya Itifaki (Kamati ya ukaribishaji wageni) ya Mahafali ya 21 ya   SUZA katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohammed Shein uliopo
Read More
NAIBU Makamo  Mkuu  wa Chuo Kikuu cha taifa cha Zanzibar (SUZA) anayeshughulikia masuala ya Mipango, Fedha na Utawala, Prof.  Salum  Seif  Salum amesema  ushirikiano  na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  utachangia kuitangaza SUZA kitaaluma kimataifa. Hayo aliyasema katika mazungumzo yake kati ya ujumbe kutoka TCRA ambao unatoa mafunzo ya mawasiliano ya kimataifa (International Telecommunication Union-
Read More
Ujumbe wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA) ukiwa pamoja na watendaji na maofisa wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ukiongozwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Khadija Salum Ali ukikagua miradi ya maendeleo inayotarajiwa kuwekwa jiwe la msingi katika kipindi cha shamrashamra za Mapinduzi ya Zanzibar mwezi Januari
Read More
1 2 3 4 5 21