The State University Of Zanzibar

Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeahidi kuendeleza ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Global Health Equity (UGHE) cha Rwanda, kwa lengo la kuboresha huduma za afya na kuinua ubora wa elimu katika sekta hiyo kwa pande zote mbili. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib
Read More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu HassanRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Baraza la Chuo, Menejimenti, na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu za dhati za
Read More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan MwinyiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Baraza la Chuo, Menejimenti na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeeleza dhamira yake ya dhati ya kuimarisha shughuli za utafiti kwa njia ya kitaasisi, na kuachana na mtindo wa tafiti za mtu mmoja mmoja zisizo na mwelekeo wa pamoja. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Makamu wa Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdalla, wakati wa uzinduzi
Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Awamu ya Nane imefanikiwa kutekeleza falsafa  ya R4 inayolenga Mageuzi ya Kiuchumi, Kielimu, na Kijamii kwa maendeleo endelevu ya wananchi wa Zanzibar. Akizungumza kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, katika Kongamano la Kitaaluma
Read More
Naibu Makamu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, amewataka wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kutumia rasilimali za Chuo kwa manufaa ya taasisi na taifa kwa ujumla badala ya kuzitumia kwa maslahi yao binafsi. Prof. Abdi Talib Abdallah alitoa wito
Read More
Leo tarehe 15 Oktoba 2025, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, alitembelea Skuli na taasisi mbalimbali ndani ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar – SUZA kwa lengo la kuzitembelea kampasi za Chuo na kukutana na Wakuu wa Skuli pamoja na Wakuu wa Idara. Ziara hiyo
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) PO Box 146 vc@suza.ac.tz www.suza.ac.tz CALL FOR APPLICATIONS ERASMUS+ STUDENT MOBILITY EXCHANGE TO UNIVERSITY OF VENICE, ITALY The School of Education (SoE), is pleased to invite postgraduate students from the School of Education to apply for the Erasmus+ Student Exchange Programme in collaboration with Ca’ Foscari University of Venice,
Read More
1 2 3 4 5 17