The State University of Zanzibar (SUZA) met with a delegation from the International Union for Conservation of Nature (IUCN) and the OCP Foundation to discuss how they can collaborate in areas of mutual interest that they are working on. The institutions met on November 14, 2024, at SUZA’s headquarters in Tunguu, South Unguja, where theyRead More
Kongamano la Kimataifa la Kiswahili limefanyika katika mji wa Havana, nchini Kuba, tarehe 8 na 9 Novemba, 2024. Kongamano hili limehusisha wataalamu na wadau wa Kiswahili kutoka Tanzania na nje ya Tanzania pamoja na wenyeji wa Kuba. Jopo kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) likiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo, Profesa Moh’d MakameRead More
Waziri wa Mambo ya nje wa Jamhuri ya Kuba Mhe. Bruno Rodriguez Parrilla(Kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Prof. Moh’d Makame Haji wakizindua kitabu cha kujifunza kihispania kwa Kiswahili toleo la kwanza katika kongamano la kimataifa la kiswahili Novemba 8, 2024 Havana nchini Kuba. Kitabu hicho kilichozinduliwa ni cha ChuoRead More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Kampuni ya Ujenzi ya Mohammed Builders Limited zimetiliana saini mkataba wa ujenzi wa majengo mawili ya Skuli ya Kilimo na Maabara unasimamiwa na Mpangosi. Tukio hilo lililofanyika tarehe (4/11/2024) katika ofisi za Makao makuu ya SUZA Kampasi ya Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja, limewashirikisha Makamu Mkuu waRead More
Deepening Educational and Cultural TiesState University of Zanzibar (SUZA) Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, led a high-level delegation to China to further strengthen educational and cultural ties between the two nations. The delegation included representatives from Zanzibar University, Leera School, and other key stakeholders from the public and private sectors. A primary focus ofRead More
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Dk. Hashim Hamza Chande, amesema ushirikiano baina ya SUZA, Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) na Chuo Kikuu cha Cagliari cha Italia umekuja wakati muafaka hasa ikizingatiwa kuwa Chuo kinatarajia kutekeleza mradi wa upanuzi wake hivi karibuni. Akizungumza katika kikao cha pamoja cha maofisa wa ZAWA na wa Chuo cha Italia hapo makao makuu ya SUZA Tunguu Wilaya yaRead More
MKUU wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Moh’d Makame Haji amezindua mfumo mpya wa masomo ya kimtandao ‘Myloft – My Library of Finger Print’ ambao utasaidia upatikanaji wa taarifa za kimasomo kwa njia rahisi. Alisema mfumo huo utachangia kuwawezesha wanafunzi na wafanyakazi kufanya kazi zao hasa ikizingatiwa kuwa kumekuwa na ongezeko la wanafunziRead More