The State University Of Zanzibar

CHUO Kikuu Cha Taifa Cha  Zanzibar  (SUZA) kimetoa mafunzo maalum ya Itifaki ya viongozi wa kitaifa  ili   kuimarisha uandaaji na uendeshaji wa  Mahafali ya 21 yanayotarajia kufanyika tarehe 20  mwezi. Akitoa mafunzo hayo kwa Kamati ya Itifaki (Kamati ya ukaribishaji wageni) ya Mahafali ya 21 ya   SUZA katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohammed Shein uliopo
Read More
NAIBU Makamo  Mkuu  wa Chuo Kikuu cha taifa cha Zanzibar (SUZA) anayeshughulikia masuala ya Mipango, Fedha na Utawala, Prof.  Salum  Seif  Salum amesema  ushirikiano  na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  utachangia kuitangaza SUZA kitaaluma kimataifa. Hayo aliyasema katika mazungumzo yake kati ya ujumbe kutoka TCRA ambao unatoa mafunzo ya mawasiliano ya kimataifa (International Telecommunication Union-
Read More
Ujumbe wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA) ukiwa pamoja na watendaji na maofisa wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ukiongozwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Khadija Salum Ali ukikagua miradi ya maendeleo inayotarajiwa kuwekwa jiwe la msingi katika kipindi cha shamrashamra za Mapinduzi ya Zanzibar mwezi Januari
Read More