The State University Of Zanzibar

Ujenzi wa jengo la Skuli ya Kilimo (Agriculture Building) na la Maabara (Laboratory Complex) wa mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) umefikia asilimia 33 hadi mwezi huu wa tano. Taarifa hiyo imetolewa leo katika kikao cha tathmini ya ujenzi (Site Meeting) kimefanyika leo tarehe 28/05/2025 Makao makuu ya Chuo Tunguu. Aidha,
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof Moh’d Makame Haji amehudhuria kikao cha Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kilichojadili Hutuba ya Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka wa fedha 2025/2026 iliyowasilishwa tarehe 27 Mei, 2025 katika Ukumbi wa Bunge, Dodoma kwa
Read More
Dkt. Hashim Hamza Chande, ameonesha kutoridhishwa na uzembe wa baadhi ya watendaji wa Idara ya Manunuzi na Ugavi kufuatia ucheleweshaji wa utekelezaji wa miradi chuoni. Dkt. Chande alitoa kauli hiyo baada ya kukagua baadhi ya maeneo ya Skuli ya Afya yaliyoonekana kutoendelezwa. Alielezwa kuwa ucheleweshaji huo unasababishwa na changamoto za manunuzi na urasimu wa kiutendaji.
Read More
The visit aimed to establish academic collaboration between the two institutions. SUZA Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, expressed his enthusiasm for the partnership, stating that it is an honor for SUZA to receive such a delegation. He emphasized on the university’s readiness to collaborate in various fields, particularly in health sciences. SUZA is planning
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, Prof. Moh’d Makame Haji, ambae pia ni Mjumbe wa Bodi ya Ushauri ya Chama cha Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala wa mwaka 2025 alishiriki kikamilifu katika Mkutano Mkuu wa Nne wa Chama cha Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala wa mwaka 2025 (4th Annual National Conference – 2025) uliofanyika
Read More
Fifteen students and five academic staff members from the State University of Zanzibar (SUZA) proudly represented Zanzibar and Tanzania during the prestigious Erasmus Mobility Programme, a collaborative exchange between SUZA, Oradea University and University of Arad in Romania. This initiative fosters academic and cultural ties between African and European institutions, promoting knowledge-sharing and international cooperation.
Read More
Two talented students from the Institute of Tourism at Maruhubi Campus, last week represented the State University of Zanzibar (SUZA) at the prestigious Chinese Bridge World Chinese Language Competition in Dar es Salaam. Their outstanding performance earned them the Best Performance Award, marking a proud moment for SUZA and Zanzibar. The competition, known for its rigorous tests of
Read More
Wanafunzi 15 kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wamepata fursa adhimu ya kushiriki katika programu ya kimataifa ya kubadilishana Ujuzi (Erasmus Mobility Programme) kati ya SUZA na Chuo Kikuu cha Oradea kilichopo nchini Romania. Programu hiyo inaendeshwa kwa lengo la kukuza ushirikiano wa kitaaluma na kijamii kati ya vyuo vikuu vya Afrika na
Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Ndg. Khalid Masoud Waziri amewataka waandishi wa habari nchini kufanyakazi kwa weledi na ubunifu mkubwa ili kuondoa dhana potofu kwa baadhi ya watu wanaona kazi ya uandishi inaweza kufanywa hata na watu wasiokuwa na taaluma. Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Mohd Makame Haji, ameshiriki kama Mgeni Mualikwa katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanafunzi Wauguzi Tanzania (UNSATA) uliofanyika leo tarehe 10 Mei 2025, katika Ukumbi wa Dkt. Shein, Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja. Mkutano huo umejumuisha wanafunzi wa Shahada ya
Read More
1 2 3 8