The State University Of Zanzibar

Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeahidi kuendeleza ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Global Health Equity (UGHE) cha Rwanda, kwa lengo la kuboresha huduma za afya na kuinua ubora wa elimu katika sekta hiyo kwa pande zote mbili. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib
Read More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu HassanRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Baraza la Chuo, Menejimenti, na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu za dhati za
Read More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan MwinyiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Baraza la Chuo, Menejimenti na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeeleza dhamira yake ya dhati ya kuimarisha shughuli za utafiti kwa njia ya kitaasisi, na kuachana na mtindo wa tafiti za mtu mmoja mmoja zisizo na mwelekeo wa pamoja. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Makamu wa Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdalla, wakati wa uzinduzi
Read More
1 2 3 4 17