The State University Of Zanzibar

MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, Bi Saade Said Mbarouk, amesema watanzania wana tunu adhimu ya kujivunia inayoendelea kuwaunganisha katika harakati zao zote za maisha, licha ya kuwepo makabila mengi na lugha zao. Akizungumza katika shamrashamra za maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani zilizofanyika kwenye kwenye kampasi ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA)
Read More
Naibu Makamu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Fedha, Mipango na Utawala wa Chuo Kikuu cha taifa cha Zanzibar (SUZA), Dkt. Hashim Hamza Chande, ameushukuru Umoja wa Vyuo Vikuu vya Jumuia ya Madola (The Association of Common Wealth Universities – ACU) kwa mchango mkubwa wa kitaaluma inayoendelea kuitoa kwa SUZA. Akizungumza katika hafla fupi ya kumkaribisha Mkuu
Read More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kupitia Skuli Elimu Endelezi na Utaalamu (SCOPE), kimewatunuku vyeti wanafunzi 30 waliofaulu masomo ya IT, kompyuta na lugha katika masomo ya muda mfupi na mrefu. Akizungumza katika hafla hiyo, iliyofanyika katika kampasi ya Vuga Mkoa wa Mjini Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mafunzo ya Habari, Skuli ya
Read More
Katika ukingo wa dhahabu wa Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani (MAKISADU), leo tarehe 7 Julai 2025, historia imeandikwa upya. Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Osaka vimeweka saini Hati ya Ushirikiano, tukio hili likiashiria mwanzo mpya wa mashirikiano ya kitaaluma. Ghafla hii ya kusisimua iliyojaa uzuri wa lugha, sanaa,
Read More
VIONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Bahari cha Dar es Salaam wamesaini hati ya makubaliano kuongeza ushirikiano wa kitaaluma ya kutoa mafunzo ya ubaharia. Utiaji saini huo ulifanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya SUZA yaliyoko Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 26/06/2025 ambao uliwashirikisha wadau, watendaji na
Read More
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesisitiza kuwepo ushirikiano baina ya SUZA na Chuo Kikuu cha Amali cha Jiangsu cha China utakaoimarisha jitihada za serikali ya awamu ya nane chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi. Aliyasema haya
Read More
VIONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Camerino (UNICAM) cha Italia wamejadiliana namna ya kuendeleza ushirikiano wa kitaaluma ili kuongeza kasi maendeleo kwenye nyanja ya elimu na kutoa wahitimu waliobobea kwenye program wanazotoa. Vyuo hivyo viwili vilitiliana saini mkataba wa ushirikiano mwaka 2019 katika taaluma kwa kubadilishana wanafunzi, kufanya
Read More
WADAU kutoka taasisi zinazoshughulikia masuala ya bahari Tanzania wamepitia rasimu ya mtaala wa mafunzo ya usalama wa bahari ili kuwawezesha kuitumia rasilimali hiyo kwa maendeleo endelevu. Akifungua kikao kilichofanyika makao makuu ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) tarehe 24/06/2025, Makamu Mkuu wa chuo hiki alisema hatua hii ni muhimu kufanyiwa kazi ipasavyo kwani
Read More
Osaka, Japani — 1 Julai 2025Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimejitokeza kwa fahari kubwa kushiriki rasmi katika uzinduzi wa Juma la Kiswahili na Utamaduni uliofanyika jijini Osaka, Japani, ikiwa ni sehemu ya Tamasha la Kibiashara la Kimataifa la Osaka 2025. Akizungumza katika hafla hiyo ya uzinduzi, Makamu Mkuu wa SUZA, Profesa Mohamed Makame
Read More
1 2 3 4 12