The State University Of Zanzibar

The Acting Vice Chancellor of The State University of Zanzibar (SUZA), Prof. Abdi T. Abdalla, participated in the 3rd China-Africa University Presidents Forum held in Jinhua, China, from 17th–19th April 2026 as part of the 70th Anniversary celebrations of Zhejiang Normal University. During the forum, Prof. Abdalla delivered a keynote speech titled “Advancing China-Africa Academic
Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameweka jiwe la msingi wa majengo ya Maabara za Sayansi na Skuli ya Kilimo ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja ambapo tukio hilo linakwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 62 ya Jamhuri ya
Read More
Wajumbe wa mradi wa Building Stronger Universities awamu ya nne (BSU IV) wamefanya ziara maalum katika kampasi mbalimbali za Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa lengo la kukagua maendeleo ya miradi inayotekelezwa chini ya mpango huo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uwezo wa kitaaluma, utafiti na ubunifu chuoni hapo. Ziara hiyo
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBARP O BOX: 146, Zanzibar- TanzaniaPhone: +255 773333167Website: http://www.suza.ac.tzEmail: vc@suza.ac.tz CENSU Research and Education Program (Climate Change, Energy,Sustainability: Transformation and Governance) CALL FOR DRAFT MANUSCRIPTS The CENSU Research and Education Program at the State University of Zanzibar(SUZA) invites submissions of draft manuscripts for participation in astructured manuscript development and scientific writing
Read More
Kwa niaba ya Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo , Maafisa wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wamefanya mazungumzo na Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki katika ofisi za taasisi hiyo, zilizopo eneo la Maisara, Mjini Zanzibar, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kitaaluma. Katika kikao hicho, SUZA imekubali rasmi ombi na fursa iliyowasilishwa
Read More
Kaimu Makamu Mkuu Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA Prof Abdi Talib Abdlalla amefanya mazungumzo na ujumbe wa taasisi ya MashUbora ili kushirikiana katika kuimarisha utafiti wa kimatibabu kwa kanda ya Afrika Mashariki. Akizungumza na ujumbe huo ulioongozwa na Ndg. Sehlomola Mashatole ambaye ni Mwanzilishi na Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo na Dkt. Salma Abdi
Read More
Ujumbe wa taasisi ya MashUbora umekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji Ofisini kwake Mnazi Mmoja kwa lengo la kuanzisha ushirikiano na Wizara hiyo. Akitoa maelezo ya taasisi hiyo Mkurugenzi wa kanda ya Afrika Mashariki wa MashUbora ambaye pia ni Mkuu wa Skuli ya Afya na Sayansi
Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBARP O BOX: 146, Zanzibar- TanzaniaPhone: +255 773333167Website: http://www.suza.ac.tzEmail: vc@suza.ac.tz CALL FOR PROJECT RESEARCHERS CENSU Project – State University of Zanzibar (SUZA) The Climate Change, Energy, Sustainability: Transformations and Governance (CENSU) Project is a collaborative initiative between universities in Tanzania, Mozambique, and Norway. The project examines the sustainability and governance implications
Read More
1 2 3 4 18