The State University Of Zanzibar

The visit aimed to establish academic collaboration between the two institutions. SUZA Vice Chancellor, Prof. Moh’d Makame Haji, expressed his enthusiasm for the partnership, stating that it is an honor for SUZA to receive such a delegation. He emphasized on the university’s readiness to collaborate in various fields, particularly in health sciences. SUZA is planning
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, Prof. Moh’d Makame Haji, ambae pia ni Mjumbe wa Bodi ya Ushauri ya Chama cha Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala wa mwaka 2025 alishiriki kikamilifu katika Mkutano Mkuu wa Nne wa Chama cha Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala wa mwaka 2025 (4th Annual National Conference – 2025) uliofanyika
Read More
Fifteen students and five academic staff members from the State University of Zanzibar (SUZA) proudly represented Zanzibar and Tanzania during the prestigious Erasmus Mobility Programme, a collaborative exchange between SUZA, Oradea University and University of Arad in Romania. This initiative fosters academic and cultural ties between African and European institutions, promoting knowledge-sharing and international cooperation.
Read More
Two talented students from the Institute of Tourism at Maruhubi Campus, last week represented the State University of Zanzibar (SUZA) at the prestigious Chinese Bridge World Chinese Language Competition in Dar es Salaam. Their outstanding performance earned them the Best Performance Award, marking a proud moment for SUZA and Zanzibar. The competition, known for its rigorous tests of
Read More
Wanafunzi 15 kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wamepata fursa adhimu ya kushiriki katika programu ya kimataifa ya kubadilishana Ujuzi (Erasmus Mobility Programme) kati ya SUZA na Chuo Kikuu cha Oradea kilichopo nchini Romania. Programu hiyo inaendeshwa kwa lengo la kukuza ushirikiano wa kitaaluma na kijamii kati ya vyuo vikuu vya Afrika na
Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Ndg. Khalid Masoud Waziri amewataka waandishi wa habari nchini kufanyakazi kwa weledi na ubunifu mkubwa ili kuondoa dhana potofu kwa baadhi ya watu wanaona kazi ya uandishi inaweza kufanywa hata na watu wasiokuwa na taaluma. Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo
Read More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Mohd Makame Haji, ameshiriki kama Mgeni Mualikwa katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanafunzi Wauguzi Tanzania (UNSATA) uliofanyika leo tarehe 10 Mei 2025, katika Ukumbi wa Dkt. Shein, Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja. Mkutano huo umejumuisha wanafunzi wa Shahada ya
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimedhamiria kuanzisha mashirikiano na Chuo Kikuu cha Osaka nchini Japan yenye lengo la kukuza mashusiano kwenye Taaluma, Tafiti na kubadilishana wataalamu na wanafunzi kwenye maeneo ya lugha, utamaduni na afya. Haya yamesemwa na Makamu Mkuu wa SUZA Prof. Moh’d Makame Haji alipofanya mazungumzo na Mwakilishi kutoka Chuo Kikuu
Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein  Mwinyi ametembelea banda la maonesho la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) lililoonesha huduma mbali mbali zinazotolewa na taasisi za Chuo hiki. Dk. Mwinyi  alipewa maelezo ya shughuli zinazotekelezwa na SUZA ikiwa ni pamoja na masuala ya afya ya binadamu na wanyama, ujasiriamali,
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimefanya mazungumzo na Taasisi ya Sayansi za  Hisabati ya Afrika (African Institute for Mathematical Sciences – AIMS) tawi la Rwanda, yakilenga kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali, hususan ufundishaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati. Mazungumzo hayo, yaliyofanyika tarehe 29 Aprili 2025 katika  ofisiza makao makuu
Read More
1 2 3 4 8