We sincerely thank Ms. Laxmi, Chief of UNICEF Zanzibar, and her team for visiting the SUZA booths at the Zanzibar International Trade Festival, currently taking place at the Dimani Exhibition Grounds. Your visit on 12th January 2026 was a great honor and a strong encouragement to our academic and innovation initiativesRead More
Mhe. Mussa Azzan Zungu, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa UAE nchini Tanzania, Mhe. Khalifa Abdulrahman Mohamed Abdulrahman Almarzouqi pamoja na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda akiambatana na Ujumbe kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), katikaRead More
Mratibu Mkuu wa Mradi wa Mageuzi ya Elimu ya Juu Kiuchumi (HEET) Dkt. Kennedy Hosea, amewahimiza wakandarasi wa ujenzi wa mradi huo kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha kazi yao kwa wakati uliopangwa. Alisema Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kiko karibu na wakandarasi kushirikiana nao kwa kila hali ili kutatua changamoto zinazotokea kamaRead More
Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Charles Kihampa amewahimiza wakuu wa Skuli za Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuwafundisha wanafunzi wao kwa vitendo ili wakiajiriwa watekeleze majukumu yao kwa ufanisi. Hayo aliyasema wakati akizungumza na Wakuu wa Skuli na Wakurugenzi wa SUZA kwenye kikao kilichofanyika kwenye ofisi za makaoRead More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR SCHOOL OF EDUCATION Terms of Reference (ToR) for External Evaluator – RADIC Project Final Evaluation RADIC Final Evaluation – Terms of Reference 1. Background The Rehabilitation for All through Digital Innovations and New Competences (RADIC) project aims to strengthen digital rehabilitation capacity and collaboration in East Africa. Through partnerships amongRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimepokea ujumbe wa maofisa kutoka Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) tarehe 8 Januari 2026 katika makao makuu yake Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja. Ziara hiyo ni sehemu ya mfululizo wa mikutano ya TANAPA na wadau wake, sambamba na ushiriki wao katika maonesho ya biashara yanayoendelea Dimani, Mkoa waRead More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) VACANCY ANNOUNCEMENT RE-ADVERTISED POSITION: VICE CHANCELLOR The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar, established under the State University of Zanzibar Act No. 8 of 1999 and subsequently amended by Act No. 11 of 2009, Act No. 7 of 2016, Act No. 1 ofRead More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) VACANCY ANNOUNCEMENT RE-ADVERTISED POSITION: DEPUTY VICE-CHANCELLOR – PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar, established under Act No. 8 of 1999 and subsequently amended by Act No. 11 of 2009, Act No. 7 of 2016, Act No. 1 ofRead More
Zaidi ya Shilingi Bilioni Tisa zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Bahari (Chuo cha Ubaharia) cha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), hatua inayolenga kuimarisha sekta ya elimu ya bahari na kuongeza idadi ya wataalamu wazalendo katika nyanja za ubaharia, usafiri wa majini, na uchumi wa buluu. Ujenzi wa chuoRead More
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Cha Zanzibar SUZA, Prof. Abdi Talib Abdalla amewasisitiza wanafunzi wa chuo hicho kuchgangamkia fursa ya kujifunza Lugha ya Kichina kutokana na kua na fursa nyingi zinazo patikana katika lugha hiyo Akizungumza kwa Niaba yake, Mkuu wa Skuli ya Elimu SUZA Dkt. Said Khamis Juma Wakati wa haflaRead More