Naibu Makamu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Fedha, Mipango na Utawala wa Chuo Kikuu cha taifa cha Zanzibar (SUZA), Dkt. Hashim Hamza Chande, ameushukuru Umoja wa Vyuo Vikuu vya Jumuia ya Madola (The Association of Common Wealth Universities – ACU) kwa mchango mkubwa wa kitaaluma inayoendelea kuitoa kwa SUZA. Akizungumza katika hafla fupi ya kumkaribisha MkuuRead More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kupitia Skuli Elimu Endelezi na Utaalamu (SCOPE), kimewatunuku vyeti wanafunzi 30 waliofaulu masomo ya IT, kompyuta na lugha katika masomo ya muda mfupi na mrefu. Akizungumza katika hafla hiyo, iliyofanyika katika kampasi ya Vuga Mkoa wa Mjini Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mafunzo ya Habari, Skuli yaRead More
Katika ukingo wa dhahabu wa Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani (MAKISADU), leo tarehe 7 Julai 2025, historia imeandikwa upya. Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Osaka vimeweka saini Hati ya Ushirikiano, tukio hili likiashiria mwanzo mpya wa mashirikiano ya kitaaluma. Ghafla hii ya kusisimua iliyojaa uzuri wa lugha, sanaa,Read More
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji amesisitiza kuwepo ushirikiano baina ya SUZA na Chuo Kikuu cha Amali cha Jiangsu cha China utakaoimarisha jitihada za serikali ya awamu ya nane chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi. Aliyasema hayaRead More
VIONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Camerino (UNICAM) cha Italia wamejadiliana namna ya kuendeleza ushirikiano wa kitaaluma ili kuongeza kasi maendeleo kwenye nyanja ya elimu na kutoa wahitimu waliobobea kwenye program wanazotoa. Vyuo hivyo viwili vilitiliana saini mkataba wa ushirikiano mwaka 2019 katika taaluma kwa kubadilishana wanafunzi, kufanyaRead More
A transformative Training of Trainers on Scientific Communication is currently taking place at the State University of Zanzibar – Institute of Tourism, under Work Package 4 of the SCOPPET Project This training brings together experts from Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo), Jimma University (Ethiopia), and SUZA, combining regional knowledge and international expertise to buildRead More
A powerful three-day workshop brought together researchers and scholars from Jimma University (Ethiopia), State University of Zanzibar (SUZA), and Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo) in Tanzania to strengthen science communication skills under the SCOPPET Project. Designed to enhance the capacity of project team members, the workshop featured both local and remote facilitation, enabling activeRead More
CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeunda ushirikiano wa kitaaluma na Chuo Kikuu cha Misri cha Sadat City (USC) ambapo kinatarajia kufungua tawi la Chuo hicho kitakachokuwa na ofisi zake katika kampasi za SUZA. Akizungumza katika hafla fupi ya kujadiliana namna ya kutekeleza ushirikiano huo, Makamu Mkuu wa SUZA, Prof. Moh’d Makame Haji, alisemaRead More
Kituo cha Center for Digital Learning (CDL) cha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kwa kushirikiana na Taasisi ya Shule Direct ya Tanzania, kimeingia katika ushirikiano wa kimkakati kutekeleza Mradi wa Virtual Learning Environment (VLE) wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, ikiwa ni jitihada mahsusi za kuimarisha sekta ya elimu kupitia matumiziRead More
Professor Moh’d Makame Haji, Vice Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA), held a meeting with a delegation from South Africa’s University of Limpopo. The meeting took place today, June 19, 2025, at the conference hall on the Tunguu Campus. The delegation, led by Mr. Melusi Nxumalo, Director of Student Governance and Development atRead More