THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) VACANCY ANNOUNCEMENT POSITION: VICE CHANCELLOR The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar, established under the State University of Zanzibar Act No. 8 of 1999 and subsequently amended by Act No. 11 of 2009, Act No. 7 of 2016, Act No. 1 of 2019Read More
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) VACANCY ANNOUNCEMENT POSITION: DEPUTY VICE-CHANCELLOR – PLANNING, FINANCE AND The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar, established under Act No. 8 of 1999 and subsequently amended by Act No. 11 of 2009, Act No. 7 of 2016, Act No. 1 of 2019 andRead More
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar SUZA, Profesa Makame Mohammed Haji, amesema Chuo hicho kinaendelea kujidhatiti katika kuandaa wanafunzi watakaoweza kujiajiri na kuajiriwa kwenye taasisi mbalimbali ndani na nje ya nchi pamoja na kukuza ujuzi wa vitendo, ubunifu na maarifa ya kisasa ili kuhakikisha wahitimu wake wanakuwa na uwezo wa kushindana kwenyeRead More
The State University of Zanzibar (SUZA) has reaffirmed its commitment to advancing academic excellence through strategic international partnerships. During a meeting held at SUZA’s Tunguu campus in South Unguja, Vice Chancellor Professor Moh’d Makame Haji emphasized the importance of establishing new collaborations and revitalizing existing agreements to enhance the university’s academic capacity. The Vice Chancellor met with Dr.Read More
The State University of Zanzibar (SUZA), through the Office of the Deputy Vice-Chancellor for Academic, Research and Consultancy (DVC-ARC), has successfully concluded a comprehensive five-day capacity-building workshop aimed at enhancing the operational effectiveness of the Senate Secretariat. Held from 10th to 14th November 2025, the workshop represents a strategic initiative designed to reinforce the Secretariat’sRead More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu HassanRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Baraza la Chuo, Menejimenti, na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamu za dhati zaRead More
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA)Sanduku la Posta 146, Zanzibar- TanzaniaSimu:+255 24 2233337/773333167 Nukushi:+255 24 2233337Tovuti: http://www.suza.ac.tz Barua pepe: vc@suza.ac.tz SALAMU ZA PONGEZI Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan MwinyiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Baraza la Chuo, Menejimenti na Wanajumuiya wote wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanatoa salamuRead More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeeleza dhamira yake ya dhati ya kuimarisha shughuli za utafiti kwa njia ya kitaasisi, na kuachana na mtindo wa tafiti za mtu mmoja mmoja zisizo na mwelekeo wa pamoja. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Makamu wa Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdalla, wakati wa uzinduziRead More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Awamu ya Nane imefanikiwa kutekeleza falsafa ya R4 inayolenga Mageuzi ya Kiuchumi, Kielimu, na Kijamii kwa maendeleo endelevu ya wananchi wa Zanzibar. Akizungumza kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, katika Kongamano la KitaalumaRead More
Leo tarehe 15 Oktoba 2025, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Prof. Abdi Talib Abdallah, alitembelea Skuli na taasisi mbalimbali ndani ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar – SUZA kwa lengo la kuzitembelea kampasi za Chuo na kukutana na Wakuu wa Skuli pamoja na Wakuu wa Idara. Ziara hiyoRead More