Skip to main content

The State University Of Zanzibar

SUZA Delegation at KCMUCo Moshi, Kilimanjaro | 17 June 2026 The benchmarking meeting was officially opened by Professor Johnson Matowo, Acting Director of Quality Assurance at KCMUCo, together with Mr. Victor Selengia, Head of the Grant Management Office at KCMUCo. In their welcoming remarks, they underscored the importance of institutional benchmarking and collaboration in strengthening research
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kushirikiana na Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ofisi ya Pemba, kimeendesha mafunzo ya Usalama na Usafi wa Chakula pamoja na Usalama na Maandalizi ya Dharura kwa wamiliki na wahudumu wa migahawa mbalimbali inayotoa huduma za chakula Kisiwani Pemba. Mafunzo hayo yalilenga kuongeza uelewa wa washiriki kuhusu umuhimu wa
Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), kupitia Idara ya Mawasiliano na Mafunzo ya Habari, kimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kukuza taaluma ya habari baada ya wanafunzi wake kushiriki mafunzo maalumu yaliyotolewa na Taasisi ya Habari ya Kimataifa ya Russia Today (RT) katika Kampasi ya Kilimani. Akizungumza kuhusu mafunzo hayo, Kaimu Mkuu wa Idara
Read More
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Hamed Rashid Hikmany amaesema SUZA itaendelea kuunga mkono na kuimarisha elimu jumuishi kwa watu wenye ulemavu ili kuhakikisha wanapata fursa sawa za elimu na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii. Akizungumza na wanafunzi, walimu na wadau wa taasisi zinazoshughulikia watu wenye ulemavu katika
Read More
The State University of Zanzibar (SUZA) has launched a two-day training program for prospective editors and reviewers of the SUZA Journal of Science and Technology Frontiers at the Computing Lab, Tunguu Main Campus. Held under the theme “Strengthening Academic Publishing Quality Through Effective Editorial and Peer Review Practices,” the training brings together academicians, researchers, and
Read More
The State University of Zanzibar (SUZA) and the Zanzibar Research Centre for Socio-Economic and Policy Analysis (ZRPC) have officially signed a Memorandum of Understanding (MoU) aimed at strengthening collaboration in research, innovation, education, and community development. The signing ceremony took place on 28th May, 2026 at the Conference Hall of the Administration Building, Tunguu Campus,
Read More
Students and lecturers from the State University of Zanzibar (SUZA), currently in Romania for an academic exchange visit, have undertaken a local tourism and educational tour aimed at learning about the country’s history and exploring its famous tourist attractions. The educational trip also brought together students and academic staff from various universities around the world,
Read More
Uongozi wa Taasisi ya Wakaguzi wa Ndani Tanzania (IIA) umekutana na uongozi wa Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA). Lengo kuu la mkutano huo ni kuanzisha mashirikiano ikiwemo kuwa na Hatinya Mashirikiano na uanzishaji wa Klabu ya ya Wanafunzi ya Wakaguzi wa Ndani. Ujumbe huo umeongozwa na Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Ndg. Seif
Read More
The State University of Zanzibar (SUZA) reaffirmed its commitment to strengthening inclusive education, innovation, and international collaboration during the Breaking Education Barriers: Inclusion, Rehabilitation and Technology (BERT) Project Closing Conference held in Kigali, Rwanda from 18–22 May 2026. Representing SUZA, the Acting Vice Chancellor, Prof. Abdi T. Abdalla, delivered remarks during the opening ceremony, where
Read More
Wanafunzi wa kada ya Maabara wa Skuli ya Afya na Sayansi za Tiba ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar wameshiriki Kongamano la Kumi na Moja (11) la Jumuiya ya Wanafunzi wa Maabara Tanzania (TAMELASA). Kongamano hilo limefanyika tarehe 16/05/2026 katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere uliopo Dar es Salaam. Akihutubia Kongamano
Read More
1 2 3 4 20