Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeendesha mafunzo maalum ya uelewa kuhusu matumizi ya ndege zisizo na rubani, yaliyolenga kuwaongezea uelewa wadau kuhusu sheria, taratibu na matumizi salama ya teknolojia hiyo. Mafunzo hayo yamewakutanisha viongozi wa Shehia ya Jumbi, akiwemo Sheha na wajumbe wake, watumiaji na wadau wa ndege zisizo na rubani kutoka taasisiRead More